Ruhlamin kiwango
Member
- Mar 5, 2015
- 28
- 9
Jaribu nchi ya Moshi mjini kutema mate.
its true pale moshi mjin ukitema mate unapigwa faini
Jaribu nchi ya Moshi mjini kutema mate.
cisse ni kosa lake la pili msimu huu, adhabu ya kutema mate ni mechi 6 plus 1 ya kurudia kosa kubwa. evans yeye ndo kosa la kwanza kala 6 kavu.
incase cisse akifanya kosa jengine kubwa adhabu inaongezeka zaidi kama surez vile
Hawajafungiwa kwa sababu ya kutema mate bali kutemeana mate. Ama kweli Kiswahili si lugha yenu.
cc. BAK
Yatayotokea leo uwanja wa taifa ndo yatatokea kesho jumatatu, endapo yanga atamfunga simba bac lazima man u afe kwa goons. Vice versa is true.
Weee shindwa, leo ni raha mpaka kesho na wiki nzima yote.
Jibu unalo sasa...Yanga kapakatwa...kesho goons kama kawa, anajilengesha mwenyewe kama mbwa kwa chatu..
Uonapo kuzama kwa jua ujue siku mpya inakuja
Hahahahaaaa, tusubiri dk 90 kesho ndo turudi hapa.
Mtani tusubiri kesho tuone.
mkuu mbna sikusomi,?
kivip wkt man utd ni ya nne?
Bado masaa matatu kamili