ili mradi tunaishi tuombe Mungu. mei si mbali mkuuPamoja na hicho kiwango kibovu Arsenal,Liverpool,Chelsea,Spurs,Everton hawajatufunga msimu huu
ili mradi tunaishi tuombe Mungu. mei si mbali mkuuPamoja na hicho kiwango kibovu Arsenal,Liverpool,Chelsea,Spurs,Everton hawajatufunga msimu huu
cisse ni kosa lake la pili msimu huu, adhabu ya kutema mate ni mechi 6 plus 1 ya kurudia kosa kubwa. evans yeye ndo kosa la kwanza kala 6 kavu.
incase cisse akifanya kosa jengine kubwa adhabu inaongezeka zaidi kama surez vile
ni furaha yangu kumwona Henry pale Emirates kama manager
Jon Evans has been banned for six games as a punishment for spitting! I'm not gonna miss him at all!
Waintroduce pia adhabu ya kutema mate uwanjani wakati mechi inaendelea, maana kuba baadhi ya wachezaji wanatema mate kila baada ya sekunde chache utadhani wamefungwa bomba lililojaa mate midomoni mwao mpaka inakera.
I guess kuna nchi ambayo ni kosa la jinai kutema mate in public!
I guess kuna nchi ambayo ni kosa la jinai kutema mate in public!
Duh uko vizuri bro..thanks.
Ahsante sana Mkuu acha Majiji ya wenzetu yapendeze kwa usafi.
ili mradi tunaishi tuombe Mungu. mei si mbali mkuu ila man kuingia big four ni ngumu kama ilivyo ngumu kupata damu toka kwenye mwamba.
ni furaha yangu kumwona Henry pale Emirates kama manager
I guess kuna nchi ambayo ni kosa la jinai kutema mate in public!
Habari njema sana hii hasa kwa kipindi hichi ambacho tuna mechi za muhimu huyu jamaa mjinga sana asurudi hadi msimu uishe
Jaribu nchi ya Moshi mjini kutema mate.
Yatayotokea leo uwanja wa taifa ndo yatatokea kesho jumatatu, endapo yanga atamfunga simba bac lazima man u afe kwa goons. Vice versa is true.