Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna watu lazima wapo humu kama guests ... wanasubili "kama ikitokea" Utd wakifungwa wa login kuanza kubwabwaja

Btw hicho kitu hakiwezi kutokea
 
Duh!! HT leo imekuwa kama dakika 5 nilitamani hata ziongezwe kama dakika nyingine 10 hivi.
 
hivi Nzi kwa Herrera pale huwa unaonaga kipi cha ziada Aisee!!??
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu lazima wapo humu kama guests ... wanasubili "kama ikitokea" Utd wakifungwa wa login kuanza kubwabwaja

Btw hicho kitu hakiwezi kutokea

Wee acha kabisaa ukitaka kujua hilo kama uko kwenye pc angalia viewers ndo utajua tuko wengi sana humu wana subir kinuke tu waanze yao.
 
Leo van gaal kachezesha mabeki wanne defence imetulia kiasi.
 
Mh!!! Sub zimekuja mapema sana alafu kocha anapenda kupoteza nafasi za sub bila sababu kwa kufanya sub za mabeki ambazo hazileti tija kwa timu
 
Nimeipenda line up ya leo. Rooney anahitajika mbele siyo kiungo. Natamani pia Carrick angekuwa kiungo kati pale. All the best my team and MUFC in the second 45'
 
Back
Top Bottom