RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,806
- 129,653
Majogoo yanaogopwa na kila team sasa!
March 22 Man of the Match atakuwa De Gea kwa kuwapunguzia magoli.Tutashinda kiurahisi kabisa
Mbona unaeeweseka mkuu? Wenzio tunafikiria game vs gunners Monday,then spurs next weekend! Hata hatufikirii hio game ya tar 22! One game at a time! Hulali unaifikiria man utd?!!