Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyo anajiongelesha tu...mimi nimemwambia tubet, yeye anarukaruka tu..

Nimewaambia loserfool wakimaliza juu ya United, natoa US$ 100 kwa jukwaa lao...

Kuna ndugu anaitwa Janjaweed akaokoa jahazi kwa kubet nami US$ 100...nikamwambia deal..
Naam Shekhe Nzi our deal is ON

Tena iko swalama kabisa, we sema tu pesa hiyo nitume kwa nani
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
Huyo anajiongelesha tu...mimi nimemwambia tubet, yeye anarukaruka tu..

Nimewaambia loserfool wakimaliza juu ya United, natoa US$ 100 kwa jukwaa lao...

Kuna ndugu anaitwa Janjaweed akaokoa jahazi kwa kubet nami US$ 100...nikamwambia deal..

May I join on this lucrative deal?
 
Last edited by a moderator:
LVG- "Evans didn't mean to spit". Kwa hiyo LVG anakubali Evans alimtemea mate Cisse kama vile Cisse alivyofanya kwa Evans. Inabidi mumfundishe jinsi ya kukwepa maswali au kusema "I didn't see it" kama Mr. Wenger. Sio mwanzoni anasema Evans hakumtemea mtu mate then anakuja kujikanyaga hivi na vile.
 
Eti kimenuka kati ya hawa wawili au ni rumours tuu?

 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
na hio game vs nyinyi tutabahatisha tena!

RRONDO na Nzi hata nyie mnajua kuwa Man U hata sare hapati Anfield lkn hapa mkichangiwa na dada everlenk mnapoteza muda tu mpate njaa mkale

LVG anajua hawezi pata point yyt Anfield!
 
Last edited by a moderator:
Nenda Kule jukwaa lao kuna mtu ameamka na sisi Mimi nimepita kimya kimya maana nikaona nikimjibu hawachelewi kuwaka

Kule nimeshatoka, siingii tena mimi nitaingia majukwaa yote ila sio lile!!
 
RRONDO na Nzi hata nyie mnajua kuwa Man U hata sare hapati Anfield lkn hapa mkichangiwa na dada everlenk mnapoteza muda tu mpate njaa mkale

LVG anajua hawezi pata point yyt Anfield!

Hahahaha!! Haya kaka yangu sisi yetu macho.... Naona huto tu point tuwili tunakutoa roho kweli unatamani sijui ufanyeje........
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
Back
Top Bottom