Paddy McNair amecheza vizuri upande wa kulia,Evans msimu ujao auzwe amekuwa mzigo sana.Pamoja na kushinda still hatujacheza vizuri,Hizi game tulipaswa tuwe tunashinda mapema tunacheza kwa ku-relax,still sioni logic ya kuchezesha RVP,Falcao,Januzaj na Rooney kwa pamoja