Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kocha anamchosha sana Blind kwenye kukaba kiungo, Fellain na Herrera ni msaada mkubwa kwake kumsaidia kukaba

Sijaelewa LvG anatatizo gani na Herrera...whenever he is getting a game anafanya kweli...tatizo mapenzi kwa RvP yamemzidi na analazimisha awepo kwenye first eleven na matokeo yake timu inakosa balance
 
10402861_10152768613417746_3151636387129458846_n.jpg
 
Paddy McNair amecheza vizuri upande wa kulia,Evans msimu ujao auzwe amekuwa mzigo sana.Pamoja na kushinda still hatujacheza vizuri,Hizi game tulipaswa tuwe tunashinda mapema tunacheza kwa ku-relax,still sioni logic ya kuchezesha RVP,Falcao,Januzaj na Rooney kwa pamoja
 
Back
Top Bottom