FT 3-1 to United...an ugly win, but I will take it 😀
FT 3-1 to United...an ugly win, but I will take it 😀
hahahaha hili timu ni tia maji yani ungaunga mwana na mwezi march ndo mwezi wenu wa kupigwa na kutoka top four ur team is shit kwa yeyote anaejua football analysing anatambua hilo
Ohh!! Afadhali ,jana nilikuwa choka mbaya sikucheki game,asanteni sana mlituwakilisha vyema hapa jukwaani,hongera yetu sote,Viva The United!!!!
hahahaha hili timu ni tia maji yani ungaunga mwana na mwezi march ndo mwezi wenu wa kupigwa na kutoka top four ur team is shit kwa yeyote anaejua football analysing anatambua hilo
hahahaha hili timu ni tia maji yani ungaunga mwana na mwezi march ndo mwezi wenu wa kupigwa na kutoka top four ur team is shit kwa yeyote anaejua football analysing anatambua hilo
Soka haliko hivyo...utashangaa Arsenal haikumbuki lini imeifunga Man U lakini Arsenal hiyo hiyo inaifunga Man City 2-0 Etihad.hahahaha hili timu ni tia maji yani ungaunga mwana na mwezi march ndo mwezi wenu wa kupigwa na kutoka top four ur team is shit kwa yeyote anaejua football analysing anatambua hilo
Benchi limemfanya atambue wajibu wake dimbani.Hahaha mtani ulijikimbia kisa hamna udambudambu.... ila pointi tatu muhimu.
Hongera kwa smalling kwa kuwabeba
Hahaha mtani ulijikimbia kisa hamna udambudambu.... ila pointi tatu muhimu.
Hongera kwa smalling kwa kuwabeba
Benchi limemfanya atambue wajibu wake dimbani.
Hahahaha!!!! hapana siwezi kukimbia mi ni shabiki damu japokuwa hatuna ule ubora wa enzi za SAF lakini naamini we can make it na tutawashangaza wengi maana mnatazamia tutaanguka hasa katika mechi ngumu zilizopo mbele yetu, ni Van Gaal arekebishe mfumo wake tu ili kila mchezaji acheze position yake inayotakiwa vijana bado wakali ni wachache tu ndo wanaangusha na wengine wanaonekana butu kutokana na kucheza position ambazo si zao.