Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

wakuu sijaingia humu tangu tufungwe na southampton....kwa kifupi LVG ananiboa maanake wala simuelewi anachokifanya.
sasa anamng'ang'ania RVP wakati FALCAO anaoneka kabisa ana uwezo kuliko RVP!!! ana mpanga Rooney as a midfielder na Di Maria as a striker why??? kwanini asimpange rooney as a striker na di maria midfielder??! na tusisahau ana timu nzuri kuliko DM
 
wakuu sijaingia humu tangu tufungwe na southampton....kwa kifupi LVG ananiboa maanake wala simuelewi anachokifanya.
sasa anamng'ang'ania RVP wakati FALCAO anaoneka kabisa ana uwezo kuliko RVP!!! ana mpanga Rooney as a midfielder na Di Maria as a striker why??? kwanini asimpange rooney as a striker na di maria midfielder??! na tusisahau ana timu nzuri kuliko DM
mkuu kumpanga di maria as a striker is something i never believed a coach with status such as lvg will do. mpaka nikajiuliza hiki kikosi kapanga fletcher[ass. captain] nini. dropping falcao to the reserves wasnt a smart move pia. lvg ana ego sana
 
bora rvp kaumia!!

falcao inabidi acheze!!

sijafuatilia habari yoyote ya man utd tangu tufungwe na saints....na leo naenda kuangalia hii mechi wala sina ile hamu ya kawaida kuiona timu yangu...kocha gani huyu anajipangia timu hovyo hovyo tu!!! rooney ni striker ukimchezesha midfield ni kujitafutia matatizo,atawika na timu za kichovu tu ila ukicheza na timu ngumu kumuweka rooney midfield ni kumuonea tu!
 
el tigre
676702_heroa.jpg
 
QPR v Manchester United

QPR: Green; Isla, Onuoha, Dunne, Hill; Vargas, Barton, Henry, Fer; Austin, Zamora

Manchester United: De Gea; Jones, Smalling, Rojo; Valencia, Carrick, Mata, Blind, Rooney; Di María, Falcao
 
Unamtaka Evans??? Mmmh aisee kweli kila mtu na mahaba yake me uyo jamaa natamanigi auzwe.
Anyway yupo SUB uyo Evans

ujanielewa mkuu!nimeangalia start line up nimekuta yupo that why nikasema EVANs??? NO WAAY!
nkiwa na maana nimeshangaa uwepo wake!
 
Back
Top Bottom