Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Since they are the Red Devil... LvG decided tl lead them into hell.
 
Mkuu kuna watu wanafanya uchambuzi wa ajabu sana...sawa hata kama points zipo sawa, hivi hawaoni hata improvements za timu na wachezaji?

Timu angalau inacheza mpira wa kueleweka kuliko wakati wa DM...

Ndiyo maana mimi uwa nasema kuwa United ikifungwa washabiki haswa wa shitty, goons, loserfools na rentboys ufurahia kuliko wanavyofurahia timu zao kushinda...

Siku hizi mpira umevamiwa na watu wa ajabu kweli...yaani unamlinganisha LvG na DM?!?

zimewekwa facts tu hapo,
ni kweli timu imeimprove lakini je kama DM angepewa the same amount of fund kama alizopewa LvG angefanikiwa zaidi,.?
Japokuwa mimi sikuwahi kuamini DM kama kocha sahihi wa Man United .
 
Mkuu kuna watu wanafanya uchambuzi wa ajabu sana...sawa hata kama points zipo sawa, hivi hawaoni hata improvements za timu na wachezaji?

Timu angalau inacheza mpira wa kueleweka kuliko wakati wa DM...

Ndiyo maana mimi uwa nasema kuwa United ikifungwa washabiki haswa wa shitty, goons, loserfools na rentboys ufurahia kuliko wanavyofurahia timu zao kushinda...

Siku hizi mpira umevamiwa na watu wa ajabu kweli...yaani unamlinganisha LvG na DM?!?

Isitoshe, Moyes hakuwahi ipeleka Man United top 3 kwa msimu mzima, na hakuwahi kushinda mfululizo, kama alivyofanya LVG kwa kucheza kwa miezi miwili na wiki moja bila kupoteza mchezo.
Halafu hawalinganishi Moyes na LVG walikuta timu ikiwa na hali gani, Moyes kaikuta Man United ikiwa bingwa na LVG kaikuta timu ikiwa ya saba.
Kumponda LVG ni kulishwa ujinga na wajinga, nao bila ya kupembua wakabeba ujinga huo na kuuamini. Kwenye hili sitaki kuwa mjinga kwa kuuamini ujinga wa kumweka Moyes juu ya LVG.
Ova
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
zimewekwa facts tu hapo,
ni kweli timu imeimprove lakini je kama DM angepewa the same amount of fund kama alizopewa LvG angefanikiwa zaidi,.?
Japokuwa mimi sikuwahi kuamini DM kama kocha sahihi wa Man United .

Kwa akili yako unaamini Moyes alinyimwa pesa za usajili?! Moyes ndio alishindwa kusajili, sio kila Manager anaweza kusajili mchezaji mkubwa mkuu.
Si unaona Brendan Rogers anasajili wachezaji wadogo tu, na ndivyo kwa Moyes ilikuwa, alimpata Fellaini kwa sababu ni mchezaji wake na akampata Mata kwa sababu alikuwa hatakiwi Chelsea.
Matokeo yake timu haikuwa na uwiano, kulikuwa na kiungo mkabaji mmoja na namba kumi watano, bado tu huelewi kama Moyes alipwaya kwa Man United?
Man United sio kama Arsenal ya kusubiri wachezaji watoto wakue, Man United ni timu kubwa inatakiwa kusajili wachezaji wakubwa, sasa kama una Manager hawezi kusajili wachezaji wakubwa, hafai.
Ova
 
zimewekwa facts tu hapo,
ni kweli timu imeimprove lakini je kama DM angepewa the same amount of fund kama alizopewa LvG angefanikiwa zaidi,.?
Japokuwa mimi sikuwahi kuamini DM kama kocha sahihi wa Man United .

Ebu niletee link inayoonyesha DM alinyimwa pesa za usajili...

Chifu, wachezaji wa Ulaya uangalia na calibre ya kocha wa timu husika..

Na kama suala la facts, basi Di Mateo is more successful at Chelsea than Maureen. As he won the UCL in his first season, something that Maureen failed...
 
Ebu niletee link inayoonyesha DM alinyimwa pesa za usajili...

Chifu, wachezaji wa Ulaya uangalia na calibre ya kocha wa timu husika..

Na kama suala la facts, basi Di Mateo is more successful at Chelsea than Maureen. As he won the UCL in his first season, something that Maureen failed...

Msisahau huyu DM alikuwa "The Chosen one" wa the Great Sir Alex.
 
Kwa akili yako unaamini Moyes alinyimwa pesa za usajili?! Moyes ndio alishindwa kusajili, sio kila Manager anaweza kusajili mchezaji mkubwa mkuu.
Si unaona Brendan Rogers anasajili wachezaji wadogo tu, na ndivyo kwa Moyes ilikuwa, alimpata Fellaini kwa sababu ni mchezaji wake na akampata Mata kwa sababu alikuwa hatakiwi Chelsea.
Matokeo yake timu haikuwa na uwiano, kulikuwa na kiungo mkabaji mmoja na namba kumi watano, bado tu huelewi kama Moyes alipwaya kwa Man United?
Man United sio kama Arsenal ya kusubiri wachezaji watoto wakue, Man United ni timu kubwa inatakiwa kusajili wachezaji wakubwa, sasa kama una Manager hawezi kusajili wachezaji wakubwa, hafai.
Ova

BR na DM hawa wote ni makocha wazuri kwa timu ndogo, japokuwa DM alikuwa "the Chosen one" na may be Sir Alex alifikiri angeweza kuwa kocha mzuri kwa timu kubwa lakini he got all of it wrong.

LvG ni kocha mzuri sana,wala siwezi kuthubutu kumlinganisha na DM, japokuwa siamini kama mfumo wa 3-5-2 utafanikiwa
 
Toa links hizo, acha maneno mingi..
"After the club offered too little
for Fabregas and missed the deadline
for Daniele De Rossi, Moyes went with a
player he knew well who he thought could
do a job for United"
Links?!
 
LvG ni kocha mzuri sana,wala siwezi kuthubutu kumlinganisha na DM, japokuwa siamini kama mfumo wa 3-5-2 utafanikiwa

Hata LvG mwenyewe kashasema kuwa 3-5-2 anaitumia kutokana na CBs kuwa za wasiwasi..

Ila jana kachemsha kwa kweli..kwani angeweza kumpanga Rojo na Jones/Smalling kama CBs na Shaw na Valencia kama left na right backs. Kisha Carrick na Blind kama CMs; Di Maria na Mata kama AMs, na Rooney na RvP/Falcao kama strikers.

Mbona hata mimi ningeweza kupanga timu?!? Sijui alichanganyikiwa kuwa na full squad?!?
 
"After the club offered too little
for Fabregas and missed the deadline
for Daniele De Rossi, Moyes went with a
player he knew well who he thought could
do a job for United"
Links?!

Links zipo wapi? Umeitoa wapi hiyo quote?

DM ni kocha mzuri, lakini sasa nimeamini calibre na portfolio yake ndiyo ilifanya wachezaji wawe na mgomo baridi pale OT..maana kuna games lineup ni ileile kama ya DM, lakini uchezaji unakuwa bora zaidi!!
 
Refa kaharibu game...hilo ndio kosa la EPL, marefa wanazingua sana, hawapewi adhabu..next week atapangiwa game nyingine tena!!

Nakubali wewe huwa hutoi visingizio hata mkifungwa na Leicester 4-3. Clattenburg alitukanwa sana siku ile.
 
Nakubali wewe huwa hutoi visingizio hata mkifungwa na Leicester 4-3. Clattenburg alitukanwa sana siku ile.

Hicho ni kisingizio arifu? Unajua maana ya kisingizio? Maana ni kuwa kitu kisicho na ukweli au mantiki.

Sasa refa akichezesha vibaya, na kila mtu akaona hilo, kinakuwaje kisingizio? Ni jambo la ukweli mtupu na lina athari za moja kwa moja kwa matokeo ya timu.

Ila kusema sijui sisi tuna majeruhi ndiyo maana tumefungwa, hicho ni kisingizio. Kwani, kama kocha anaingiza timu uwanjani, ina maana anakuwa ameona (baada ya mazoezi kabla ya game) kuwa timu hiyo inaenda kushindana. Sasa akifungwa, tatizo linakuwa siyo majeruhi wake, bali ni tactics zake kushindwa na tactics za mpinzani wake..

Unaelewa kweli maana ya neno 'kisingizio' arifu? Ebu tuanze na hili kwanza, maana pengine tunaweza kuwa tunajadili suala ambalo tunalielewa tofauti!
 
Hicho ni kisingizio arifu? Unajua maana ya kisingizio? Maana ni kuwa kitu kisicho na ukweli au mantiki.

Sasa refa akichezesha vibaya, na kila mtu akaona hilo, kinakuwaje kisingizio? Ni jambo la ukweli mtupu na lina athari za moja kwa moja kwa matokeo ya timu.

Ila kusema sijui sisi tuna majeruhi ndiyo maana tumefungwa, hicho ni kisingizio. Kwani, kama kocha anaingiza timu uwanjani, ina maana anakuwa ameona (baada ya mazoezi kabla ya game) kuwa timu hiyo inaenda kushindana. Sasa akifungwa, tatizo linakuwa siyo majeruhi wake, bali ni tactics zake kushindwa na tactics za mpinzani wake..

Unaelewa kweli maana ya neno 'kisingizio' arifu? Ebu tuanze na hili kwanza, maana pengine tunaweza kuwa tunajadili suala ambalo tunalielewa tofauti!

You are an impossible case .Kwa hiyo Arsenal tunavyolalamikiaga jinsi marefa wanavyosababisha tufungwe (dhahiri)haihesabiki kuwa ni kisingizio au hii rule ina apply kwenu tu?
 
BR na DM hawa wote ni makocha wazuri kwa timu ndogo, japokuwa DM alikuwa "the Chosen one" na may be Sir Alex alifikiri angeweza kuwa kocha mzuri kwa timu kubwa lakini he got all of it wrong.

LvG ni kocha mzuri sana,wala siwezi kuthubutu kumlinganisha na DM, japokuwa siamini kama mfumo wa 3-5-2 utafanikiwa

Uko sahihi mkuu. Ni ngumu kucheza 3-5-2 ukiwa na mtu kama Blacket kwenye kikosi. Na ndio maana jana tulipata tatizo kwa kumkosa Young pembeni ambaye yeye na Valencia wanaonekana kuiva vema kwenye huu mfumo. Ni kama ambavyo tulianza vibaya tulipokuwa tukimkosa Young.
Ova
 
Back
Top Bottom