Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Di maria, di manyota
 

Attachments

  • 1412775544046.jpg
    1412775544046.jpg
    65.2 KB · Views: 116
Dah! Swali gumu chifu. Ila Jones akiwa kapona, basi kichapo halali yenu. Beki yetu chifu majanga balaa!



Ok mkuu Ngoja tuombe MUNGU Jones apone haraka ili muwe kamili tuone mambo yatakavyokua!
 

Park hakuwa na kipaji sana but alikuwa anajitolea sana kuipigania jezi ya Man United na aliisaidia sana Man United kupata mashabiki wengi sana huko Asia ndio maana juzi ameteuliwa kuwa balozi wa United huko Asia

1412508713764_Image_galleryImage_Manchester_United_former_.JPG
 
Leo ni international break mkuu... Till next weekend

Asante kwa taarifa.
arolabKatika kuongezea tuu ni kuwa mechi inayofuata ya Manchester United ni dhidi ya West Bromwich Albion.

Mechi hii itachezwa kwao WBA Tarehe 20-10-2014 siku ya Jumatatu majira ya saa nne kamili usiku (sio weekend kama alivyosema NkyaH )
 
Last edited by a moderator:
Hv wakuu redcard ya captain itamzuia ascheze match ya chelsea?! Au inaishia next game au ndo ile kuchagua match za kucheza?! Maana sidhani kama herera naye yupo fit for da game. Duuh...
 
Hv wakuu redcard ya captain itamzuia ascheze match ya chelsea?! Au inaishia next game au ndo ile kuchagua match za kucheza?! Maana sidhani kama herera naye yupo fit for da game. Duuh...

Hiyo game hatocheza ila ndio game yake ya mwisho kwa adhabu yake
 
Si wanachaguaga game ya kucheza na kutocheza au?!

Mkuu hakuna kuchagua ni tangu unapata red card kama ni straight red card ni match tatu zinazofuata na kama yellow card mbili ikazaa red ni match mbili zinazofuata. Sasa unaweza chagua adhabu mkuu?
 
Najua kaka yaan tukipata matokeo game hizo tano znazokuja kiukwel tutakuwa na nafas nzuri sana ya kurudisha ndoo mtaa wa pili frm where it is currently
 
Back
Top Bottom