Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Arsenal tuliowachapa 2-0 juzi huwezi kuwafananisha na Man U,arsenal wagumu kuliko hawa

Duh! Mpira ungekuwa hivyo, basi ingekuwa rahisi sana.

Kwahiyo Leicester City alivyoifunga timu ngumu ya United, walipaswa waifunge timu nyepesi ya QPR bao 10 siyo?!?
 
Mourinho anamtambua vizuri sana uyo mzee so mourinho hatoongea upumbavu wake mbele ya uyo dingi yaani ata akishinda mourinho apo ni respect mkuu atawachezea ao ao akina wenger na akina rodgers


Nafahamu Vzr juu ya Van Gaal na Mourinho..! Hawawezi tupiana maneno km tunavyoona kwa Wenger au Manuel Pereglline. Lkn Bado napenda kuona km Van Gaal atampa changamoto gani Jose ktk hiyo game...?
 
Duh! Mpira ungekuwa hivyo, basi ingekuwa rahisi sana.

Kwahiyo Leicester City alivyoifunga timu ngumu ya United, walipaswa waifunge timu nyepesi ya QPR bao 10 siyo?!?

Hizo timu ndogo hazitabiriki ingawa man u nayo ipo kwenye huo mkondo ingawa inajikakamua.
 
Ndo maana yake,wasikilizie hiyo jumamosi



Kwa hiyo game ya tarehe 26 ndo game Yao ya kwanza kubwa kwa msimu Huu eti Nzi ??? Aiseee sipati picha...!

Mkuu Viol tumecheza big game mbili, Man City na Arsenal. Tumeona jinsi tulivyo makini sn hasa ktk hizi big game..! Hatujapoteza ata game moja mpk sasa. Sasa Hawa Man Utd inapaswa tuwe makini Zaidi na kucheza mpira sn na pia ninahisi ktk hiyo game kunaweza kukatokea kadi nyekundu au penati.

Cc: Kituko
 
Last edited by a moderator:
Duh! Mpira ungekuwa hivyo, basi ingekuwa rahisi sana.

Kwahiyo Leicester City alivyoifunga timu ngumu ya United, walipaswa waifunge timu nyepesi ya QPR bao 10 siyo?!?

Mkuu Nzi tumekuja kuwaamsha kidogo Maana tarehe 26 sio mbali..! Mchangamke kidogo!

Cc: Bulldog
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo game ya tarehe 26 ndo game Yao ya kwanza kubwa kwa msimu Huu eti Nzi ??? Aiseee sipati picha...!

Mkuu Viol tumecheza big game mbili, Man City na Arsenal. Tumeona jinsi tulivyo makini sn hasa ktk hizi big game..! Hatujapoteza ata game moja mpk sasa. Sasa Hawa Man Utd inapaswa tuwe makini Zaidi na kucheza mpira sn na pia ninahisi ktk hiyo game kunaweza kukatokea kadi nyekundu au penati.

Cc: Kituko

Hii game ndo itamkatisha sana tamaa van gaal,Nishaanza kuvuta picha Hazad anavyoingia ndani ya 18
 
Last edited by a moderator:
Jitoe ufaham hivyo hivyo.



Mkuu Kitoabu ndani ya Nyumba....! Safi sn mkuu.

Dua zetu mpk sasa msiwe na majeruhi. Yani timu yenu iwe full ngwamba ndo tukutane pasiwe na sababu Za kulia lia.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kitoabu ndani ya Nyumba....! Safi sn mkuu.

Dua zetu mpk sasa msiwe na majeruhi. Yani timu yenu iwe full ngwamba ndo tukutane pasiwe na sababu Za kulia lia.

Nina wasiwasi ulichokiandika Mwisho wa siku utakuja jutia na kuomba bora wangeendelea kuwa majeruhi
 
Last edited by a moderator:
Hii game ndo itamkatisha sana tamaa van gaal,Nishaanza kuvuta picha Hazad anavyoingia ndani ya 18



Unajua mkuu ata beki Za Man Utd siku hizi siwafahamu kabisa..! Ivi ni manguli km Vicent Kompony au Zabareta au Beki zetu? Au Man Utd watawakumbuka daima Vidic, Rio, Evra, na Mzee Stam Wakati ule? Maana Kompony na Zabareta na Demichellis wanamfahamu Vzr sn Hazard.
 
Hahahaaa...! Yawekwe kwenye hansadi sio????

Huyo Ndio Viol mkuu...!

Mpira hauchezwi hivyo

Man u waliocheza na Leicester kipindi cha kwanza wanaongoza 2-1,wakarudi uwanjani wakapata ya 3,mara pwaaah 3-2,Mara pwaaah imesawazishwa ,Mara nyavu tena 4-3,Mara pwaaah lala 5-3 wakawa broken heart.
Nye wakumzua Costa au hazard?

Give me a break
 
Last edited by a moderator:
Nina wasiwasi ulichokiandika Mwisho wa siku utakuja jutia na kuomba bora wangeendelea kuwa majeruhi



Hapana mkuu..! Nawaombea kwa Roho safi kabisa msiwe na majeruhi Tuone mpira mzuri chini ya makocha bora kabisa..! Maana hiyo game ni km ukaribisho kwa Van Gaal ktk EPL. hivyo vitimu vidogo mlivyocheza navyo si sn vile...! Upo hapo mkuu wangu?
 
Unajua mkuu ata beki Za Man Utd siku hizi siwafahamu kabisa..! Ivi ni manguli km Vicent Kompony au Zabareta au Beki zetu? Au Man Utd watawakumbuka daima Vidic, Rio, Evra, na Mzee Stam Wakati ule? Maana Kompony na Zabareta na Demichellis wanamfahamu Vzr sn Hazard.

Teh teh teh wanamtegemea Rafael halafu mechi iliyopita si ana kadi nyekundu au?
 
Back
Top Bottom