Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Arsenal tuliowachapa 2-0 juzi huwezi kuwafananisha na Man U,arsenal wagumu kuliko hawa
Duh! Mpira ungekuwa hivyo, basi ingekuwa rahisi sana.
Kwahiyo Leicester City alivyoifunga timu ngumu ya United, walipaswa waifunge timu nyepesi ya QPR bao 10 siyo?!?