boyfriendy
JF-Expert Member
- Sep 9, 2012
- 1,988
- 1,034
Hivi kuna timu inaitwa arsenal? Mbna siioni kwenye jedwali? :-D
Wapo mtaa wa 8
Hivi kuna timu inaitwa arsenal? Mbna siioni kwenye jedwali? :-D
Haya na herera na carrick je?! Mbna kazi ipo hio game.
Blind atafunika pale kati
Haya na herera na carrick je?! Mbna kazi ipo hio game.
Taarifa za Carrick zinasema kuna uwezekano ata game ya tarehe 20 atakua available. So nina iman match ya chelsea atakua available and fit for da match
Going to be 4-0 mark my words
Going to be 4-0 mark my words
Ni ngumu sana Man United imalize mechi bila kufunga goli 2,anyway endelea kuota,pamoja na kuwa wabovu last season mkaambulia droo OT
Hiyo game ni kipimo kikubwa kwa Van Gaal mbele ya mashabiki wake!
Hatareeeeee.....!
Ni ngumu sana Man United imalize mechi bila kufunga goli 2,anyway endelea kuota,pamoja na kuwa wabovu last season mkaambulia droo OT
Hiyo game itakuwa rahisi sana hutategemea yatakayotokea
Nafahamu kua hiyo game ni nyepesi sn na pia kwa Jose jinsi alivyo hiyo game tayari imeshaanza kuchezwa Bado tu hizo dakika 90 Za uwanjani tu...!
Tulia time will tell, kama hamjakuja kuumwa ugonjwa wa kutoamini kilichotokea mpaka msimu unaisha
Arsenal tuliowachapa 2-0 juzi huwezi kuwafananisha na Man U,arsenal wagumu kuliko hawa
Hakuna shida mkuu....! Ngoja tusubiri..!
Sisi Chelsea fans tumeanza kuweka kambi ktk Nyumba yenu hii tukisubiri game yetu kwa hamu..... Tuone km Huyu Mzee Van Gaal atamfunga Jose Mourinho?