Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,181
- 37,479
Avatar yako inaonyesha wewe ni mbeya sana ahasante Mungu hatukaribiani hata kiduchu ungekuwa unaishi Njiro ningekuwa na mashaka na ndoa yangu kwa umbeya wako.
na mwandishi wetu MO11
Man u yawalamba miguu Fa
Klabu inayolipa vizuri kwa sasa uingereza mashetani wekundu mabingwa wa kihistoria wa ligi kuu uingereza wameomba uwezekano wa kucheza mechi zote zilizobaki na Queen park Rangers.
Maombi hayo yamekuja baada ya wiki iliyopita kuifunga klabu hiyo magoli mengi ambayo yamewatia matumaini ya kurudi Ulaya UEFA.
Hata hivyo maombi hayo yalitupiliwa mbali na kuchomwa moto na kutishiwa hata nafasi ya saba waliyopewa watapokonywa. Man u imekuwa timu iliyo pata shida sana msimu huu kwa kuambulia vichapo viwili suluhu mbili na ushindi mmoja.
Ila habari za ndani zinasema maombi hayo yamekataliwa kutokana kustaafu kwa Webb na Fergie