Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Hahahahahaha lol!!!! Naona leo mmepata la kuongea mbona hutaki kujibu swali langu bhanaaaa!! Ni aje Mkuu? Naona bado hamjatimia lakini wengi bado wako msituni kwa sababu wanaona ushindi huu si wa kujivunia. Hata hivyo BAK anasema hongereni sana. Mmejitahidi sana leo hatimaye mmpeata points tatu nza kwanza katika msinu huu wa 2014/2015 🙂🙂🙂
Sub poa sana hii. Van Gaal does a wonder job
Sub poa sana hii. Van Gaal does a wonder job
Hivi goli la tano atafunga nani?
Kpr mapapai kweli goli NNE zote?
Mhhhhh!!!! Wonderful job with only 5 points out of 12 possible points? Haya bhanaaaa!!!! lol!!!
Nyinyi mtapewa zaidi ya nne. Just wait