Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu Nani anahitaji msada wa kisaikolijia, he is simply pathetic, ana kuwa na tackle damn malicious, aombe FA wasim-ferdinand!!
Anyways, tushukuru Everton kampunguza kasi Bluzzz, bila us@%ng@ wa nani we would have top the table!
 
_47277902_nanioff_ap.jpg


Phew! Amefumaniwa Nani?
 
Wacha nipo nashukuru kupata droo hiyo ilikuwa ni moja ya game nilizokuwa naziogopa sana
Wamebaki City, Everton,Liva na Chelsea tu
 
Wacha nipo nashukuru kupata droo hiyo ilikuwa ni moja ya game nilizokuwa naziogopa sana
Wamebaki City, Everton,Liva na Chelsea tu

Zamu yenu kuhesabu mechi ngumu, sisi tulilazimishwa kula muarobaini.
 
Wacha nipo nashukuru kupata droo hiyo ilikuwa ni moja ya game nilizokuwa naziogopa sana
Wamebaki City, Everton,Liva na Chelsea tu
Unasikia mtani Belo, na hizi game zote mtafungwa hampati sare hata moja, at the end of the day utarudi kunipa thanks hapa kwa useful post
 
article-1250086-083C0181000005DC-453_468x337.jpg


X-rated: Manchester United's Luis Nani (centre) was sent off for this challenge on Stiliyan Petrov

 
Duh afadhali tumepata point 1,wenzetu Chelsea & loserpool wamefulia.
 
.......mipressure imehamia kwao sasa, halafu tuliwaonya sana hawa.......!

That Pressure unayoongelea will NEVER happen to Man Utd, more especially kwa wanazi sie, rejea post zetu hususani katika kipindi kile cha mpito, kipindi, Fletcher na Carrick wanapipga beki za kati, What was our stance?, sisi ndio Manchester UNITED, embu soma signature ya Belo muone nini naamanisha.

It is not over till its ova.
 
Wacha nipo nashukuru kupata droo hiyo ilikuwa ni moja ya game nilizokuwa naziogopa sana
Wamebaki City, Everton,Liva na Chelsea tu

Hata mie niliwahofia sana hawa vijana, huwa wanatutoa nishai sana.
Sasa mbio ziendelee
 
Back
Top Bottom