Wachezaji mizigo wengi...LvG akifanya mzaha wa kuchekacheka na Woodward, hakika ataharibu CV yake na aina ya wachezaji waliopo...
Watu waliniponda kumtetea DM mwaka jana...ila pengine sasa nyuso zimewashuka...nilisema kwamba hata SAF atastruggle na wachezaji waliopo..
Mwanzo mbaya...ila siyo ishu...bado naendelea kusisitiza timu ina average players...tatizo siyo kocha..wachezaji mizigo...ngoja LvG apitishe fagio la chuma..
#GGMU
Wachezaji mizigo wengi...LvG akifanya mzaha wa kuchekacheka na Woodward, hakika ataharibu CV yake na aina ya wachezaji waliopo...
Watu waliniponda kumtetea DM mwaka jana...ila pengine sasa nyuso zimewashuka...nilisema kwamba hata SAF atastruggle na wachezaji waliopo..
Tena naviguuu vya Mbu unataka wavunje zieneee damu Humu?Teh teh teh teh mdudu Mbu Zitakaporushwa Chupa humu ndani cjui nani atakuokoa.
Mwanzo mbaya...ila siyo ishu...bado naendelea kusisitiza timu ina average players...tatizo siyo kocha..wachezaji mizigo...ngoja LvG apitishe fagio la chuma..
#GGMU