Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,528
- 1,917
Ww lazima utakuwa mshabiki wa liva
Mkuu unaongelea Liva ipi nasikia inaitwa Loserspool. Ni wazi atakuwa ni mmoja wao kabisa
Ww lazima utakuwa mshabiki wa liva
first was vidic and giggs, then rio and evra now howard webb has announced leaving old trafford. This makes five important players leaving the manchester united in one season. Who's next?
First was Vidic and Giggs, then Rio and Evra now Howard Webb has announced leaving Old Trafford. This makes five important players leaving the Manchester United in one season. Who's next?
ha ha ha ha! let them continue hate, it deserves them!We won against LA Galaxy........It was a small club We won against AS Roma......It was just a friendly We won against Inter Milan.....It was just on penalty We won against Madrid.......Ronaldo didn't come in on time We've finally beaten Liverpool.......Maybe their goalkeeper forgot to drink his coffee before the match.... Haters why can't you accept Glorious UNITED!!!View attachment 175372View attachment 175373View attachment 175377
Naona Prondo ananung'unika na kuhudhunika kuondoka kwa supa staa wao. Sijui mwaka huu nani atawabeba Old Trafford?ARSENE WENGER......HE IS A VERY GOOD MOTIVATOR FOR OUR [20] TITLE WINNiNG TEAMS!!!!
Naona Prondo ananung'unika na kuhudhunika kuondoka kwa supa staa wao. Sijui mwaka huu nani atawabeba Old Trafford?
Naona Prondo ananung'unika na kuhudhunika kuondoka kwa supa staa wao. Sijui mwaka huu nani atawabeba Old Trafford?
Naona Prondo ananung'unika na kuhudhunika kuondoka kwa supa staa wao. Sijui mwaka huu nani atawabeba Old Trafford?
First was Vidic and Giggs, then Rio and Evra now Howard Webb has announced leaving Old Trafford. This makes five important players leaving the Manchester United in one season. Who's next?
Tumewafunga goli 6 then 8 refa hakuwa Webb,tumechukua champions league 1999,2008 bila ya Webb.Nilishawaambia Wenger ni agent wa Manchester usishangae Ozil au Sanchez anatua United 2017
Naona Prondo ananung'unika na kuhudhunika kuondoka kwa supa staa wao. Sijui mwaka huu nani atawabeba Old Trafford?
Tumewafunga goli 6 then 8 refa hakuwa Webb,tumechukua champions league 1999,2008 bila ya Webb.Nilishawaambia Wenger ni agent wa Manchester usishangae Ozil au Sanchez anatua United 2017
Naona mna hamaki ukweli unauma sio? Afu wapenzi wa UTd mna selective memory, msing'ang'anie mechi vs Arsenal mnasahau alivyowabeba mechi kibao vs timu nyingine hasa Old Trafford hadi watangazaji wapenzi wa UTD wanakosa sababu za kumtetea Webb. Mfano, Man Utd vs Tottenham Old trafford 2009 ,UTD wapo nyuma magoli 2 kwa bila Webb aliwapa UTD penati ya mauzauza, baada ya mechi hiyo Webb akatupwa kusimamia ligi ya championship. Mechi nyingine vs Liverpool hadi Ryan Babel akaphotoshop Webb akiwa ndani ya jezi ya United baada ya Webb kuwapa penati nyingine ya ajabu ajabu pia kumpa red card Steven G. Kuna mechi kibao Webb alivurunda kwa favor ya United ukilinganisha na alizowauma. Wapenzi wengine wa United wanalalamika kuwa miaka miwili iliyopita Webb kasahau ameajiliwa na nani hatoi penati Old trafford kama anavyotakiwa kutoa.LOL
Naona mna hamaki ukweli unauma sio? Afu wapenzi wa UTd mna selective memory, msing'ang'anie mechi vs Arsenal mnasahau alivyowabeba mechi kibao vs timu nyingine hasa Old Trafford hadi watangazaji wapenzi wa UTD wanakosa sababu za kumtetea Webb. Mfano, Man Utd vs Tottenham Old trafford 2009 ,UTD wapo nyuma magoli 2 kwa bila Webb aliwapa UTD penati ya mauzauza, baada ya mechi hiyo Webb akatupwa kusimamia ligi ya championship. Mechi nyingine vs Liverpool hadi Ryan Babel akaphotoshop Webb akiwa ndani ya jezi ya United baada ya Webb kuwapa penati nyingine ya ajabu ajabu pia kumpa red card Steven G. Kuna mechi kibao Webb alivurunda kwa favor ya United ukilinganisha na alizowauma. Wapenzi wengine wa United wanalalamika kuwa miaka miwili iliyopita Webb kasahau ameajiliwa na nani hatoi penati Old trafford kama anavyotakiwa kutoa.LOL
Kwa hiyo Webb ndio amesababisha nyie muwe wasindikizaji kwa 10 season? Mbona Chelsea,ManCity wamechukua ubingwa Webb akiwepo
Ubingwa wa 20 tulipewa na Wenger baada ya kutupa RVP,Man City walipewa Nasri,Clichy wakachukua ubingwa.Wenger ni agent wetu mkubwa
teh teh teh teh teh teh I think it will be Mark Dean.
Teh teh teh teh teh!