The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,250
Mshambuliaji si mmemnunua Lambert, au hafai? kama vp mrudisheni Caroll
Kwani Gerald alipofunga penalty hamkufurahi?
Fletcher alificha mido za liverpool lol, nitakuwa mtovu wa adabu kama nikimzungumzia Herrera alichokuwa anafanya leo
Hizi mbwembwe zenu za kinazi ndo huwa zinawakosti! Hongereni anyway,mmeshinda mechi dhidi ya timu bora ndo mana mnabweka sana,lol!