SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,028
- 5,355
kiboko cha big four -the bluees, nyie wote(Man, liver, aser,city) mtaendelea wateja wetu mpaka mourinho atakapoondoka.
Ukipambana sana na Big four mwisho wa siku utaumia na utabaki kuona wenzio wanabeba vikombe tu. Hii tabia alikuwa nayo Liver, spurs japo hana ubavu kivile na sasa Chelsea. Ukipambana sana na big 4 hawa wadogo watakuvuruga tu maana una base kwenye mifumo ya timu kubwa then ndogo zinakuzingua.
Na siri ya ubingwa ni kwamba kwatimu ndogo hakikisha unachukua point nyingi sana iwezekanavyo. Chelsea alishinda mechi zake zote na big 4 au big 5 lakini ajabu akawa wa 3 na hata bila kikombe.
Think twice.