MOORIINGEE
JF-Expert Member
- Oct 31, 2013
- 381
- 190
Nitarudi hapa...
#GGMU
karibu tena ndugu
Nitarudi hapa...
#GGMU
rudi mkuu
May Hiyo jumatatu tuandike historia nyingine.. Van Gal amesema malengo yake ni kuvunja rekodi ya Ferguson..
Time will tell mkuu
Haya gemu ya Man u leo itakuwa saa ngapi waungwana?
Game inaanza saa tisa kamili
Well Done Boys.... Kombe la kwanza hilo
"Katimu" ka Uingereza tumekafunga
Hehehe nimeipenda Hiyo DonDonald joke yako, naona kila mkifunga goli mnashangilia utafikiri ligi tehtehteh! Sio mbaya ka small team cha chini ya top 5 kimeshinda! Ok nje ya joke! Man United kati wamebadilika na hasa nimependa Luke Shaw touch zake na anavyokimbia na mpira ila kuna mengi wanatakiwa kufanya bado United ila United waliisukuma LFC ndani ya Box zaidi vizuri na kuwachezesha Striker wenu wawili kwa pamoja na tofauti nyengine LFC imecheza vizuri Back na Middle ila ukweli safari hii utakuwa pale pale bila Suarez bila Real Striker magoli yatapotea ila LFC japo imefungwa hakucheza vibaya tofauti umaliziaji na Man United kati Herrera ametulia ila wingers wa kweli mnahitaji na sie strikers!
Asante kwa kuongea kama mtu wa mpira na siyo mnazi wa Liverpool.
Kudos.
Kuna #WakaangaSumu watabeza...wakati United ilivyocheza katika ICC ni kiashiria kizuri cha namna gani confidences za wachezaji na timu zimerudi...
Bit the hell out of the #Scousers
Bring on the #EPL
Hehehe nimeipenda Hiyo DonDonald joke yako, naona kila mkifunga goli mnashangilia utafikiri ligi tehtehteh! Sio mbaya ka small team cha chini ya top 5 kimeshinda! Ok nje ya joke! Man United kati wamebadilika na hasa nimependa Luke Shaw touch zake na anavyokimbia na mpira ila kuna mengi wanatakiwa kufanya bado United ila United waliisukuma LFC ndani ya Box zaidi vizuri na kuwachezesha Striker wenu wawili kwa pamoja na tofauti nyengine LFC imecheza vizuri Back na Middle ila ukweli safari hii utakuwa pale pale bila Suarez bila Real Striker magoli yatapotea ila LFC japo imefungwa hakucheza vibaya tofauti umaliziaji na Man United kati Herrera ametulia ila wingers wa kweli mnahitaji na sie strikers!