Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakaanga sumu kasageni vyupa mle...
Chief, Hongera kwa kuanza kurudisha tena jina la theatre of dreams instead of theatre of daydreamer!.

Ninashangaa kwa nini watu walikuwa wanamlalamikia David Moyes wakati wanamchukua walifahamu kiwango chake pale Everton Club.

Kiwango chake ni kwenye BPL mid table na ndiyo kilikuwa kimefika hata katika timu ya Man United. Kuelewa nina maana gani, inabidi watu waiangalie The Toffees ya sasa inavyopiga hodi kwenye mlango wetu katika style ya entertaining football.

Nimeipenda hii picha kwa jinsi inayoonyesha umuhimu wa wachezaji kuziheshimu club zilizowaonyesha njia na kuwapa maisha yanayochagizwa na mamilioni ya Pesa ya Malkia wa Uingereza.

1398532129092_lc_galleryImage_epa04181163_Manchester_Un.JPG
 
Yaani kwa jeans man u leo ilivyocheza nimegundua mambo mawili either wachezaji walikuwa hawamtaki kocha,au kocha alikuwa anashindwa kuwamotivate wachezaji wacheze vizuri in a man utd way kama tunavyoona hapa leo

Wachezaji huwa wanajituma wanapopata kocha mpya. Don't read too much into mechi ya kwanza, hata Moyes alishinda mechi ya kwanza PL
 
Hahahaha hata Moyes aliposhinda mechi ya kwanza PL mlichonga kwamba moto ni ule ule toka Fergie. Mpeni mkataba wa miaka mitatu au sita muone kama hamjakimbizana hapa kwa #InGiggsWeTrust vs #GiggsOut

Tatizo mnachoshindwa kugundua ni kitu kimoja: sio kushinda mechi ni namna mnavyoshinda

Namna leo tulivyocheza ni kama ile Man Utd tuliyoizoea ya Fergie, hata tungeshinda kwa goli moja true fans wa UTD wangeridhika na namna mtanange ulivyokuwa unapelekeshwa na vijana.

Next victim: Sunderland dah ninawaonea huruma

Nilipo bold weka kumbukumbu, utakuja kuniambia
 
Hahahaha hata Moyes aliposhinda mechi ya kwanza PL mlichonga kwamba moto ni ule ule toka Fergie. Mpeni mkataba wa miaka mitatu au sita muone kama hamjakimbizana hapa kwa #InGiggsWeTrust vs #GiggsOut

Mkuu, jukumu lake tangia day 1 anajua ni mechi 4 point 12 na kurudisha heshima mtaani, jambo ambalo keshafanikiwa {Heshima imerudi} TV muda wote wanazungumzia Huu mziki mpya wa UTD

Baada ya mechi 4 anakuja "World Class Manager" with "World Class Players"
 
Wachezaji huwa wanajituma wanapopata kocha mpya. Don't read too much into mechi ya kwanza, hata Moyes alishinda mechi ya kwanza PL

Duh! Mkaanga sumu naona umeumia kweli..

Ngoja nikusaidie lakini: leo timu imekuwa na shots on target nyingi kuliko mechi zote under DM; na hata baada ya kuwa na goli 3, Giggs akafanya sub ya kuingiza mshambuliaji, jambo ambalo lilimaanisha, more attacking footie. Jambo hili la pili lilikuwa halifanyiki kwa DM, ambaye alipendelea defensive footie hata kama anaongoza kwa goli 1 bila!

Kama inakuuma sana, nenda kumchukue Moyes Miami ili aje afundishe Manchester United ya mtaani kwenu.
 
Mkuu, jukumu lake tangia day 1 anajua ni mechi 4 point 12 na kurudisha heshima mtaani, jambo ambalo keshafanikiwa {Heshima imerudi} TV muda wote wanazungumzia Huu mziki mpya wa UTD

Baada ya mechi 4 anakuja "World Class Manager" with "World Class Players"

World class players gani waje kwenye team ambayo imemalza nafas ya 7 na haipo UCL??

Au unafukiri kusajili world class players ni that easy???
 
Duh! Mkaanga sumu naona umeumia kweli..

Ngoja nikusaidie lakini: leo timu imekuwa na shots on target nyingi kuliko mechi zote under DM; na hata baada ya kuwa na goli 3, Giggs akafanya sub ya kuingiza mshambuliaji, jambo ambalo lilimaanisha, more attacking footie. Jambo hili la pili lilikuwa halifanyiki kwa DM, ambaye alipendelea defensive footie hata kama anaongoza kwa goli 1 bila!

Kama inakuuma sana, nenda kumchukue Moyes Miami ili aje afundishe Manchester United ya mtaani kwenu.

Game yenu ya kwanza ya EPL dhidi ya Swansea..mlitupigia sana makelele!!!!

Hii game ya leo hata Moyes angeshinda..coz mlikuwa mnacheza na NORWICH CITY!!!
 
Mabadiliko yanakuja united, am sure giggsy hatafanya makosa kama ya moyes, anaijua kila team pale england.

He knows what he;z doing

unakumbuka Tim sherwood alvyochukua team ya spurs baada ya AVB kufukuzwa..matokeo yake ya awali yalikuwa hivi hivi..

lakin mwisho wa siku wote tunajua yanayoendelea spurs pale..

So mpeni mkataba giggs tu!!
 
World class players gani waje kwenye team ambayo imemalza nafas ya 7 na haipo UCL??

Au unafukiri kusajili world class players ni that easy???

It's always easy for World Class players to go to the World Class Club.
So, hata usibane pu**bu kuzuia, utaumia bure.
 
Back
Top Bottom