Uzuri ni kwamba mfunge au mfungwe haibadilishi position yenu 7th...hahaaaaa!! Hadi raha.Tena huyo mchezaji aliyemwangusha Danny ana bahati kubaki...kwani kama alizuia goal scoring opportunity, basi angelamba na red card kabisa..
Ndiyo bana...na sasa Fergie ataendelea kununua marefa wote ili goons wasiwe mabingwa wa EPL..
Rooney going a hat-trick now...
Uzuri ni kwamba mfunge au mfungwe haibadilishi position yenu 7th...hahaaaaa!! Hadi raha.
Mkuu wameshasema heshima itarudi Old Trafford, walikuwa wanamaanisha heshima ya kupewa penalties kwa kudive au wakitereza . Ferguson atakuwa ameshawakonyeza ma officials
DonDonald Msimu huu Man Utd fans mna jazba nyingi kama Sao Paulo
Mbili: haters endeleeni kutuhesabia magali yetu leo
mkuu comment kama hizi waachie watu wasiojua mpira ndo wazitoe sio kama wewe!