Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 338
Hakuna kutoa sababu zozote nafikiri Arsenal ndo wenye majeruhi kuliko timu yoyote kwenye hii league,lakini wanakipiga kama kawa, mmezidiwa msianze kutoa sababu za ajabu ajabu.
Duh wajomba kichapo cha leo noma tupu!!!
Fergie hakuchemka bali beki zote Nevile,Oshea,Brown,Rafael,Rio,Vidic ni majeruhiSAF kachemsha ... beki yake haikuwa makini, anaweza kuwa na excuse ya majeruhi. Maana hata kwenye orodha ya wachezaji wa akiba beki alikuwa mmoja tu (Fabio).
Viungo ndio walichemsha sana Anderson,Scholes wote walichemshaPia kiungo kilipwaya sana, kiasi kwamba hakukuwa na coordination kati ya safu ya ulinzi na safu ya mashambulizi. Sijui Anderson alikuwa ni kiungo ama beki, Scholes ambaye alisababisha goli la kwanza alipwaya sana.
Fomesheni ilikuwa hata haieleweki sikuona umuhimu wa Owen kucheza fomesheni ilikuwa haimfai kabisakumshauri SAF atumie window ya January kupata beki mmoja ama wawili, vinginevyo hali inaweza kuwa mbaya sana.
Ubingwa tumeshauweka rehani yaani game 18 tumefungwa 5, hao Chelsea &Arsenal wakishindwa kuchukua ubingwa kama Liverpool last season watakuwa wazembe
never on this earth.....Vigogo wa EPL wataendelea kubakia Sir Alex Ferguson na Arsene Wenger tu.
Mkubwa kwa muda wa miaka 4 iliyopita defence yetu haijawahi kuwa mbovu kama sasa ukijumlisha na majeruhi.Labda Fergie aingie sokoni January...Lol!
Belo, ndio kwanza duru la kwanza wewe tayaaaaari presha juu, vipi wewe? Eqlypz upo? Chelsea 'Best by Date' yao inaelekea ukingoni, few more months to come mtaona matokeo...
burnley wababe wa man united sisi tulitoka nguvu sawa hauwezi kuwa mbabe kwa draw.Kababu McCarthy kumbe kalikuwa sahihi kwenye mechi na ManU. Wamewakandika wababe wa Arsenal, Burnley 2-0 !.
Ubingwa tumeshauweka rehani yaani game 18 tumefungwa 5, hao Chelsea &Arsenal wakishindwa kuchukua ubingwa kama Liverpool last season watakuwa wazembe
Kila nikikumbuka kipigo cha 'mbwa mwizi' cha juzi....kila nikikumbuka defense woes our team is facing recently...kila nikumbuka mechi na watani wetu wa Msimbazi Alhamis..preshaaa preshaaa, naona kuna kila dalili ya 'kuila' X mas nikiwa na drip......Natamaani kuwa malaikaaaaa, natamani kuwa mtotoooo!
To hell with soka.!