Mbeky
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 672
- 520
moyes kaumiza mioyo ya watu sana
'Get Rid Of David Moyes: RANT! | Manchester United 2-2 Fulham | REVIEW - YouTube
'Get Rid Of David Moyes: RANT! | Manchester United 2-2 Fulham | REVIEW - YouTube
Moyes kakaa na Everton miaka 11 baada ya kuondoka martinez kaifikisha wapi ndani ya msimu mmoja..??Siku zote kocha akikaa na timu muda mrefu akipata mafanikio akija kuondoka timu inapata shida sana
AC Milan since ameondoka Anceloti bado wanastruggle Barca since Pep ameondoka now wana struggle hata Klopp akiondoka BVB watapata tabu sana
Moyes alitaka kuweka staff wake..matokeo yake akaja na Philip NevelleSAF anaijua sana hiyo timu hata akirudishwa anaweza chukua ubingwa na timu hiyohiyo.Tatizo la ManUnited sio kuleta kocha mpya tu bali kumsaidia na kumwandalia mazingira kuondoka kwa SAF,staff coach na David Gill kwa pamoja it was big loss
Hapa umeongea...pamoja sana mkuuNakubali ilikuwa sahihi kumfukuza Moyes pamoja na kukaa msimu mzima sijaona kama kuna kitu ambacho ameongeza kwenye timu na ameshindwa ku-motivate wachezaji
Siku zote kocha akikaa na timu muda mrefu akipata mafanikio akija kuondoka timu inapata shida sana
sure mkuu kwa fansbase waliojiwekea man u dunia nzima na patnership deals walizoingia dunia nzima hasa asia na marekani to be honest wanahitaji kuwepo mbali zaidi ya walipo pale sasa hivi yaani ingewachukua minimum 5 years kuwepo walipo sasa hivi so bad imewachuka just 11 months,mimi nataka sana kocha atakaeckuja pale sasa hivi asiwe na asili ya uk kwa maana asiwe mscotland,muingereza wala muwales awe kutoka nchi nyingine kabisa ndo naamini anaweza kuibadilisha man u i realy hope klopp ndo aje achukue timu kuliko van gaal lakini najua hilo lityakuwa gumu kiasi coz ameshasema hana intersest na man u klakini naamini mbele ya fedha hakunaktakachoweza kusjhindikana lets hope tutampata kocha anaestahili kuifundisha man u na sio kuleta upendeleo wa kuteuana(favourtism)Mndengereko na EMT juzijuzi tu Huyu Wenger alikua ktk pressure ya kuondoshwa km Hatoweza kuingia kwa top 4. Lkn tusivunjike moyo! Utafika muda ataondoka! Huyu Wenger na Moyes wanaharibu ligi ya EPL kwasababu timu zao zinawapenzi wengi Lkn ktk ligi hawana ushindani!
Angalia Leo mpk Loserfool wanajiona vidume! Lkn km man Utd na arsenal wangekua na ushindani mambo yangekua pouwa! Timu zimebaki mbili tu! City na chelsea na hao Loserfool Ndio wanaibuka!
Aende tu Moyes! Binafsi Nimefurahi!
najua hilo mkuu yeye kasajiliwa pale ilitimu ipate matokeo regardless atassajili au hata sajili cha msingi timu ipate mafanikio lakini as long as ye mwenyewe alikuwa anathibitisha kwamba timu yake haifanyi vizuri kutokana na aina ya wachezaji aliokuwa nao so swala la kushindwa kusajili inabidi iwe blame yake na hiyo ndo ilikuwa concern yanguMoyes ametimuliwa kwa timu kufanya vibaya na sio kushindwa kusajili wachezaji kumbuka hata SAF alishindwa kuwasajili Shearer,Hazard,Moura,Baines, Roben,Gaucho
tatizo ni kwamba alipewa timu wakati mbaya hata angekuja kocha gani angechemsha but Moyes alichemka zaidi tofauti na management ilivyotegemea
In short SAF ndio mtu wa kulaumiwa kwenye hii issue ya Moyes
sure mkuu ila mimi nampenda zaidi klop kuliko van gaal nahisi ni mzuri zaidi ya van gaalMkuu achana nao kwanza nashangaa mashabiki wa Arsenal ndio wako mbele kumtetea Moyes..poor them walifikiri nao watapata mtelemko kama wengine...
Sasa mjadala wa #moyesout #wrongone #stupidone ushafungwa sasa wapenzi na tunaoitakia mema timu yetu pendwa Man U tunaamishia akili za kumpata Van Gal..huyu bwana anauwezo hata wa kuwafanya waremavu wapige chenga achana kabisa na mduch huyu..
Glory Glory Man U
Mdengereko ndugu yangu sina jinsi ila nilitamani tungepata wasaa leo kusherekea ushindi wetu huu...maana hili vugu vugu na sala zetu tumezianza zamani sana..ilikua ni kazi sana kumfanya Inzi atuelewe tulipokua tunasema Moyes hafai kaprove failure in every aspect uwanjani na in dressing rooms...
Stupid #thewrongone na atuombe msamaha
Hahahaha mkuu EMT, tatizo Man U wanasoma sana dictionary afu wanaipeleka uwanjani.
The Chosen One lost the dressing room. And, ukishapoteza the dressing room, then that is it.
We were told that there is no player power at United, lakini tumeona power ipo na imesababisha mpaka the very Chosen One kufukuzwa.
Hata akija manager mwingine bado inaweza kuleta shida kama hawa akina Neville and Giggs wataendelea kuwepo kama makocha.
Who knows, the new manager ataonekana ni mgeni, na hawa akina Giggs will want to show him that wanajua zaidi about the United Way.
The new manager should come with his own coaching team and if he decides to keep akina Neville na Giggs then, they must respect him.
Ila kwangu Neville kuwa moja wa makocha wa Man Utd ilikuwa ni kituko.
sure mkuu kwa fansbase waliojiwekea man u dunia nzima na patnership deals walizoingia dunia nzima hasa asia na marekani to be honest wanahitaji kuwepo mbali zaidi ya walipo pale sasa hivi yaani ingewachukua minimum 5 years kuwepo walipo sasa hivi so bad imewachuka just 11 months,mimi nataka sana kocha atakaeckuja pale sasa hivi asiwe na asili ya uk kwa maana asiwe mscotland,muingereza wala muwales awe kutoka nchi nyingine kabisa ndo naamini anaweza kuibadilisha man u i realy hope klopp ndo aje achukue timu kuliko van gaal lakini najua hilo lityakuwa gumu kiasi coz ameshasema hana intersest na man u klakini naamini mbele ya fedha hakunaktakachoweza kusjhindikana lets hope tutampata kocha anaestahili kuifundisha man u na sio kuleta upendeleo wa kuteuana(favourtism)
Moyes kakaa na Everton miaka 11 baada ya kuondoka martinez kaifikisha wapi ndani ya msimu mmoja..??
Moyes alitaka kuweka staff wake..matokeo yake akaja na Philip Nevelle
Hapa umeongea...pamoja sana mkuu
NEW WORD IN THE DICTIONARY:
MOYES - /ˈmɒyɪs//
Noun/
1 (C) an unexpected event leading to failure.
2 (C) /informal/ a complete failure.
Examples:
1. His efforts to pass the exam ends in Moyes.
2. The last presidential election recorded massive rigging and was declared a Moyes
Can you use this new word in a sentence
sure mkuu kwa fansbase waliojiwekea man u dunia nzima na patnership deals walizoingia dunia nzima hasa asia na marekani to be honest wanahitaji kuwepo mbali zaidi ya walipo pale sasa hivi yaani ingewachukua minimum 5 years kuwepo walipo sasa hivi so bad imewachuka just 11 months,mimi nataka sana kocha atakaeckuja pale sasa hivi asiwe na asili ya uk kwa maana asiwe mscotland,muingereza wala muwales awe kutoka nchi nyingine kabisa ndo naamini anaweza kuibadilisha man u i realy hope klopp ndo aje achukue timu kuliko van gaal lakini najua hilo lityakuwa gumu kiasi coz ameshasema hana intersest na man u klakini naamini mbele ya fedha hakunaktakachoweza kusjhindikana lets hope tutampata kocha anaestahili kuifundisha man u na sio kuleta upendeleo wa kuteuana(favourtism)
....Hii ndio siri pekee!
Man United mmevunja mwiko, mmekuwa kama Chelsea na ndio maana povu linanitoka!
Case ya Everton na United ni tofauti in short Everton hawajawahi kupata mafanikio kama United ,walikuwa na wachezaji wazuri vijana but walihitaji kocha mpya wa kuwamotivate wachezaji ndicho alichofanya Martinez
United kuna wachezaji almost 10 (Giggs,Rio,Vida,Nani,Ando,Fletcher,Rooney,Carick,Evra) wamekaa si chini ya misimu 8 na wameshinda almost kila kwetu kwenye club level wanapaswa kuendolewa ili waje wengine wenye ari mpya
Kama SAF aliweza kuilazimisha bodi impe timu Moyes sidhani kama angeshindwa kuwalazimisha abaki na wasaidizi wake.In short kulitakiwa kuwe na smooth transition kwa kocha yeyote otherwise makocha wazoefu kama Anceloti au Morinyo ndio wangeweza