Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

.....#StupidOne ee?,.....for 11yrs he built that Everton FC to be the force they are today,
don't be deceived na Mercenaries mina LUKAKU, Gareth BERRY etc,....

miezi tisa mliyompa sio kigezo cha msingi kuongoza MAN UNITED hii ya kina Evra, Rio, Van Persie
na wengineo wanaojiona wataongozwaje na DM....
kama alikuwa na power ya kutimua benchi la ufundi lote kwa nini asiwe na power ya kuwongoza hao player by the way yeye ndo aliyetaka evra aendelee kubaki na yeye ndo aliyempa nani mkataba mpya wa iezi sita wakati hajamtumia na rio alikula benchii za kutosha kipindi chake pamoja na giggs sasa iweje ashindwe kuwaongoza wachezaji ambapo utawala wote upo chini yake huyu ameboronga,everton kuiongoza kwa miaka 11 ni kwa sababu hakuwa na perssur man u kuna pressure ni klabu kubwa ile,ndo maana anashindwa kuimudu akisahkuwa na wachezaji 15 ambao wote anaweza kucheza first eleven anababaika hajui amtyumie yupi na kwa wakati gani??
incase kama hujuitoka moyes kachukua klabu hajawahi hata siku moja kuchezesha kikosi kimoja (first 11) sawasawa katika mechi mbil mfululizo sasa niambie wewe ueona wapi kocha hachezeshi kikosi kimoja walau katika mechi mbili mfululizo hiyo inpelekea wachezaji kutkuelewana na kuwa na consistency
 
msimu mmoja bila trophy kwetu ni mrefu sana....nyinyi na arsenal ndio mnaweza kuvumilia failures kama hizi.

.....ulikuwa haujazaliwa #Fergie alipochukua team, na akasota nayo miaka sita bila kikombe?!

Au ulikuwa unashabikia team gani wakati huo?



#MosKwito !
 
ahsante mkuu kwa kuwa honest mi nashindwa kuwaelewa watu wengine wanaosema eti man u hawajafanya poa kumtimua moyes eti dhambi ya timua timua itatutafuna yaani siwaelewi wanafikira kwa kutumia nini yaani favour yote aliyopewa moyes ya kukaa miezi 11 bado hajatosheka ?

Z


soo far tunamdai #stupidone hatujamalizana nae inabidiatuombe radhi kwa kuchafua c.v yetu ya man u

Hakuna kocha yoyote Duniani ambaye angeweza kufanya maajabu na kikosi KIBOVU kama mlichonacho..kwasababu hamuwez kumpata tena Kocha wa aina ya SAF..

Ukweli ni kwamba mna kikosi KIBOVU sana Man Utd, kikosi kinachohitaji kocha mzoefu, Bora na mkali wa kuogopwa na wachezaji kama SAF, ili kifanye maajabu!!!
 
.....ulikuwa haujazaliwa #Fergie alipochukua team, na akasota nayo miaka sita bila kikombe?!

Au ulikuwa unashabikia team gani wakati huo?


#MosKwito !

Fergie took over a team full of drunkards,while Moyes took over EPL champions[others CHAMPIONS LEAGUE WINNERS] kwahio Fergie alikuwa anajenga timu upya,Moyes ana timu ambayo imechukua ubingwa kwa 11 points,11 points i mean 11points! at least CAPITAL ONE CUP alitakiwa apate
 
Hakuna kocha yoyote Duniani ambaye angeweza kufanya maajabu na kikosi KIBOVU kama mlichonacho..kwasababu hamuwez kumpata tena Kocha wa aina ya SAF..

Ukweli ni kwamba mna kikosi KIBOVU sana Man Utd, kikosi kinachohitaji kocha mzoefu, Bora na mkali wa kuogopwa na wachezaji kama SAF, ili kifanye maajabu!!!

sasa ukisema kikosi kilichoshinda EPL TITLE KWA 11PTS ni kibovu hao waliobaki utawaitaje??? Liverpool hii hii inayokaribia kuchukua ubingwa ilikuwepo wakati hiki kikosi unachokiita kibovu kinamaliza na point 11 zaidi ya mshindi wa pili....hata sikumbuki Liverpool hii hii iliachwa nyuma kwa point ngapi!
 
Hakuna kocha yoyote Duniani ambaye angeweza kufanya maajabu na kikosi KIBOVU kama mlichonacho..kwasababu hamuwez kumpata tena Kocha wa aina ya SAF..

Ukweli ni kwamba mna kikosi KIBOVU sana Man Utd, kikosi kinachohitaji kocha mzoefu, Bora na mkali wa kuogopwa na wachezaji kama SAF, ili kifanye maajabu!!!
sasa nani ambae ana wajibu wa kukibadilisha hicho kikosi?? aliteuliwa mwezi wa tano kuwa kocha huyo moyes hwcome ashindwe kusajili mok tarehe ya mwisho wa usajili tena kwa kukurupoouka kwa machezaji ambae hatyukumhitaji? ulitaka ajae mtu amsajilie wachezaji wazuri wakati yeye ndo kocha?? kwa taarifa yako man walikuwa tayrai kuendelea na moyes hata kama angekosa nafasi ya nne lakini kborionga na kila siku kurudia kosa lilelile kumemcost. na kikubwa zaidii kutokuwa na msimamo katika mambo anayoyafdanya
 
kama alikuwa na power ya kutimua benchi la ufundi lote kwa nini asiwe na power ya kuwongoza hao player by the way yeye ndo aliyetaka evra aendelee kubaki na yeye ndo aliyempa nani mkataba mpya wa iezi sita wakati hajamtumia na rio alikula benchii za kutosha kipindi chake pamoja na giggs sasa iweje ashindwe kuwaongoza wachezaji ambapo utawala wote upo chini yake huyu ameboronga,everton kuiongoza kwa miaka 11 ni kwa sababu hakuwa na perssur man u kuna pressure ni klabu kubwa ile,ndo maana anashindwa kuimudu akisahkuwa na wachezaji 15 ambao wote anaweza kucheza first eleven anababaika hajui amtyumie yupi na kwa wakati gani??
incase kama hujuitoka moyes kachukua klabu hajawahi hata siku moja kuchezesha kikosi kimoja (first 11) sawasawa katika mechi mbil mfululizo sasa niambie wewe ueona wapi kocha hachezeshi kikosi kimoja walau katika mechi mbili mfululizo hiyo inpelekea wachezaji kutkuelewana na kuwa na consistency

.....sasa kaka, kama una wachezaji 15 wanaoweza cheza 1stEleven, iweje wachezaji hao hao wasielewane?
Nadhani swali lako limejijibu lenyewe, it's all down to players themselves ambao wamemuangusha Manager.
Lawama zote kwa Senior players,......

#EVRA kaka wala usimtolee mfano mwema, huyu ni kiongozi wa Mapinduzi....ushamsahau Varangati lake South Africa 2010 kwenye world Cup na team yao ya taifa ya France?

#RIO is another Culprit,.....hata Giggsy nae anaingia katika kundi hili la waliomhujumu #MOYES
Majority ya hawa so-called Senior players wanajiona wan a sauté na haji ya kucheza kuliko mabwana wadogo wanaochipukia
hii ndio iliyopelekea hata Moyes kuonekana hafai.....#dhambi ile ile iliyomuondoa SCOLARI chelsea na hata Andre Villa Boas.

....Moyes alirithi EXPERIENCED but Ageing Champions,.....kumbuka, vuguvugu na malalamiko ya Extra hard work na training zilianzishwa na nani? None other than #JudasIskariote Grumpy VAN PERSIE!

Cc Nzi, Belo, Mndengereko,...et al
 
Last edited by a moderator:
sasa nani ambae ana wajibu wa kukibadilisha hicho kikosi?? aliteuliwa mwezi wa tano kuwa kocha huyo moyes hwcome ashindwe kusajili mok tarehe ya mwisho wa usajili tena kwa kukurupoouka kwa machezaji ambae hatyukumhitaji? ulitaka ajae mtu amsajilie wachezaji wazuri wakati yeye ndo kocha?? kwa taarifa yako man walikuwa tayrai kuendelea na moyes hata kama angekosa nafasi ya nne lakini kborionga na kila siku kurudia kosa lilelile kumemcost. na kikubwa zaidii kutokuwa na msimamo katika mambo anayoyafdanya

CEO ED WOODWARD kaka,....
huyo ndio aliyekuwa na dhamana ya kufanya mazungumzo na kuwasajili wachezaji MOYES aliyewataka.
 
Fergie took over a team full of drunkards,while Moyes took over EPL champions[others CHAMPIONS LEAGUE WINNERS] kwahio Fergie alikuwa anajenga timu upya,Moyes ana timu ambayo imechukua ubingwa kwa 11 points,11 points i mean 11points! at least CAPITAL ONE CUP alitakiwa apate

....CASE CLOSED, Failures ni hao wachezaji aliowakuta, sio Manager,
BTW, hivi unakumbuka Man U walichukua Charity Shield?
E bana mimi namtetea DM sio kwakuwa naipenda Man United au vipi,
ila soka la uingereza linaporomoka kwa kuendeshwa na MEDIA!
 
Niliwahi kutoa maoni yng kwa mashabiki Wa Man Utd juu ya Ya Moyes alipochaguliwa Lkn Sio hapa JF kwamba yeye ni kocha Lkn uwezo wake ni Mdogo sn! Hatoweza kuiongoza UTD! Na pia mwezi November last year nilisema hapa ktk hii thread kwamba huyo kocha afukuzwe kawasababu anaipeleka timu kubaya na kuipa hasara! Nakumbuka wakati huo mapato ya timu yalishuka na timu kupata hasara Zaidi ya Paundi million 300. Hii kiuchumi ni dalili mbaya! Hicho Ndio kilokua kipindi kizuri kumfukuza Huyu kocha! Kwasbabu ata ligi ilikua inaelekea nusu msimu! Lkn sasaivi wamechelewa sn!

Na pia Kitendo cha juzi kufungwa na timu yake ya zamani ni kibaya sn! Kwasababu Matinez hajafanya mabadiliko Makubwa ya wachezaji! Wale wachezaji Karibu wote ni wale aliowaacha Moyes! Lkn wakamfunga! Aisee!

Bado Mzee Wenger Nae pia anatakiwa kuondolewa!

ahsante mkuu kwa kuwa honest mi nashindwa kuwaelewa watu wengine wanaosema eti man u hawajafanya poa kumtimua moyes eti dhambi ya timua timua itatutafuna yaani siwaelewi wanafikira kwa kutumia nini yaani favour yote aliyopewa moyes ya kukaa miezi 11 bado hajatosheka ?

Z


soo far tunamdai #stupidone hatujamalizana nae inabidiatuombe radhi kwa kuchafua c.v yetu ya man u
 
....CASE CLOSED, Failures ni hao wachezaji aliowakuta, sio Manager,
BTW, hivi unakumbuka Man U walichukua Charity Shield?
E bana mimi namtetea DM sio kwakuwa naipenda Man United au vipi,
ila soka la uingereza linaporomoka kwa kuendeshwa na MEDIA!

Mh! Huu 'upenzi' umetoka wapi? Wewe na wenziyo si ndiyo mlikuwa mkimsimanga Moyes jukwaani?!?

Anyway, mimi nimekubaliana na maamuzi ya klabu. Kwa sababu maamuzi hayo yamefanywa kwa faida ya klabu.

Ingawa kunaweza kuwa na ukweli kwamba media UK ina influence kubwa sana katika mitazamo ya washabaki kwa makocha na wachezaji.

Ila sijui kwanini Media ya UK imegonga kisiki kwa Wenger? Ebu nipe siri ya mafanikio ya Wenger? Au kwa vile ni kipenzi cha Media ya UK kama Maureen???
 
CEO ED WOODWARD kaka,....
huyo ndio aliyekuwa na dhamana ya kufanya mazungumzo na kuwasajili wachezaji MOYES aliyewataka.

Ed alikuwa hana uzoefu na transfer politics. Jamaa yeye alikuwa anapiga deals za kuleta wadhamini katika timu. Kutokana na mafanikio yake, akapewa shavu la kuwa CEO.

Naamini alijifunza makosa yake; ndiyo safari hii amekuwa aggressive na kutaka kuseal deals mapema.
 
Mh! Huu 'upenzi' umetoka wapi? Wewe na wenziyo si ndiyo mlikuwa mkimsimanga Moyes jukwaani?!?

Anyway, mimi nimekubaliana na maamuzi ya klabu. Kwa sababu maamuzi hayo yamefanywa kwa faida ya klabu.

Ingawa kunaweza kuwa na ukweli kwamba media UK ina influence kubwa sana katika mitazamo ya washabaki kwa makocha na wachezaji.

Ila sijui kwanini Media ya UK imegonga kisiki kwa Wenger? Ebu nipe siri ya mafanikio ya Wenger? Au kwa vile ni kipenzi cha Media ya UK kama Maureen???


....Hii ndio siri pekee!

Man United mmevunja mwiko, mmekuwa kama Chelsea na ndio maana povu linanitoka!​
 
Last edited by a moderator:
David Moyes afukuzwa leo team sasa chini ya Ryan G. Mkongwe mwenyewe ila sidhani kama ndio suruhisho jamaa angepewa mda tu afenye usajili kwanza
 
....kimenuka!.....WESHAMFUKUZA AISEE,
RYAN GIGGS ndio manager wao wa muda...(Caretaker)

Some see this coming, watu wakadai eti kuna the so called "United Way".

Kwamba hawafukuzi makocha kama klabu nyingine.

Hata Liverpool walikuwa na so called "Liverpool Way" lakini wakaiacha long time ago.

Kwa kipindi hiki ambacho soka limekuwa la kibiashara zaidi, only results on the pitch matter, not the club's traditions.

Just imagine katika msimu huu tuu nusu ya klabu za Premiership zimebadilisha makocha.

Now tell me what is so special with Man Utd wasimtimue kocha ambaye anaipeleka timu down badala ya juu?

Kwani wao siyo wafanya biashara? Business wise, the Chosen One has already made the damage, at least for this season.

Mie naona tena wamechelewa sana kumtimua the Chosen One; have they done earlier labda bado wangekuwa kwenye Champions League semi finals.

Manchester United is not Everton. Man Utd is more than a football club. But the Chosen One has only the experience of managing a football club, not an institution.
 
Back
Top Bottom