Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_20260913-175545.png
 
Hii team hawako serious , aisee waruka ruka hadi team pungufu inawafunga? Man unahitaji usajili mwingine
 
INEOS hawana kichaka sasa cha kujifichia kmmke, licha ya ubovu wa Carrick lakini INEOS kuchukua hii timu ni laana nyingine kabisa, in short ni kwamba United imekwenda kuwa the likes of zilipendwa, hakuna Usajili wowote timu iliyofanya...

Omar Berrada na Jason Wilcox waachie timu maana ni aibu na takataka tupu inayoonekana...
 
Back
Top Bottom