Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ngoja nikujibu kitaalamu uchezaji wa Hull City na Ipswich upo tofauti. Hull City wanacheza defensive game na wakipata mpira wanatumia counter attack ndio maana akawasumbua wakati Ipswich wanacheza offensive game ikawa hawana quality wa kusumbua team mkubwa ndio maana wanaruhusu magoal mengi kwa namna hiyo nikasema sio kipimo halisi kwenu kutokana na uchezaji wao.Nyinyi mnashida kwenye kuzifungua team zinazodefence na ndio maana mkastruggle kupata matokeo na mnakosa quality hiyo ya kufanya hivyo kwa maana hiyo game nyingi kubwa mnashida kwasababu nyinyi mnakuwa underdog mnakaa nyuma mnasubiri counter attack ila mkikuta na team zinazodefence na zina quality kubwa kule mbele mnapata shida kupata matokeo.
Hapa kidogo ndio umeongea point.
 
Hadi leo sijawahi kujua scouting ya man utd huwa inatafuta wachezaji kwa vigezo vipi. Kwa maoni yangu mimi, yule Barry angechukuliwa akaja kumpa changamoto Sesko. Dogo ni msumbufu sana kwa mabeki
Mnasubiri mkutane na Coventry City mjipigie then kelele zenu ziibuke za kutaka ubingwa
 
Nyumbu jinsi mnavyocheza, ni dhahiri mlikua mnamuhitaji skelly.
Hakuna kiungo wa nyumbu ambae anaweza kumueka bench huyo dogo. Na laiti mngempata basi angewa boost sana
1788753959714.jpg
 
Matatizo ya nyumbu nayaweka katika sehemu kuu tatu

1. Nyumba mpo wazi sana, hii inafanya muda wote kipa anakua kwenye pressure kubwa.
Beki watatu wabovu hata huyo mmoja martinez nae ataoneka mbovu pia

2. Kiungo kinakatika sana, hasa kwenye switch positions, unaweza ukawakuta wote wapo upande mmoja. Ikitokea team pinzani inapiga pass ndefu ya kuamisha uwanja viungo wanaanza kukimbiza upepo na ndipo wapinzani wanakutana na aya ya 1. Mashambuliz kama hayo yakipigwa matatu basi 1 lazima liwe goli

3. Washambuliaji wenu ni butu. Ndio ni butu. Sio jambo la kujivunia mfungaji bora wenu aje kuwa bruno tena wakati sesko, cunha, mbeumo, raashford wapo

Nini kifanyike
Overall restructure, fumua kikosi chote. Hapo itahitajika sio chini ya misimu mitatu. Laiti mngeanza mwaka juzi leo tungekua tunaongea lugha moja na arsenal
Kwanza mjenge timu ya kuleta ushindani, hiyo team ikikaa vizuri mnakazia sasa kuwa na timu ya kuchukua makombe

Profile kama maino, yoro, santos, heaven, zirkzee ndio iwe priority yenu. Wanapata msaada watu kama bruno, martinez, raashford, cunha

Wafuatao hawakustaili kuwa Manchester united, hasa ukizingatia ukubwa wenu
Maguire
Shaw
Dalot
Mount
Mazroui
Mbeumo
Casimiro
 
Hadi leo sijawahi kujua scouting ya man utd huwa inatafuta wachezaji kwa vigezo vipi. Kwa maoni yangu mimi, yule Barry angechukuliwa akaja kumpa changamoto Sesko. Dogo ni msumbufu sana kwa mabeki
The thing is "He is Black" hapo ndipo shida inaanzia.
 
Back
Top Bottom