Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 15,244
- 34,095
Atafika mkuuMaiko Kaniki sioni akifika Pasaka hajatimuliwa
Maana sokon hakuna kocha wa kueleweka
Atafika mkuuMaiko Kaniki sioni akifika Pasaka hajatimuliwa
Umeongea point ya msingi sana, tatizo la man u la sasa ni kocha. Kocha anashindwa kusoma mchezo ndio maana hajui aanze na mchezaji na yupi hamfanyie sub. Tatizo la pili la utd ni morali ya wachezaji kuwa chini na hili limekithiri nadhani toka aondoke Ferg. Ni kama wachezaji huwa hawajui nini wanatafuta kwenye mashindano, they can't fight. Wao wanajua kupambana wanapokutana na timubkubwa tu na ndio maana huwa wanashinda. Hii inaonesha jinsi walivyokata tamaa na kujiona wao ni under dog, hii sio hulka ya timu kubwa. Machester wanahitaji matibabu ya saikoloji zaidi ya usajili, haiwezekani mchezaji anakiwasha kweli kweli timu fulan ila akifika utd anafifia.Kabla ya kujenga timu lazima uwe na uhakika na kocha unaejenga nae timu.
Carrick subs zake ni hovyo, selection ya kikosi why sesko haanzi au sababu ni ametoka majeruhi, me sijui??
Wachezaji wake inafaa awape morali ya kujali Kila dakika ndani ya dakika tisini.
Sitaki kueleza sana, mpaka December tutamjua zaidi alivyo.
EPL ni ngumu of course, lkn tunapoteza points always Kwa kukosa kujali Kila dakika na game management.
Baleba kama akiwa fit atasaidia, maana kweny 6 DM ni mzuri sana kuliko tielemans au Santos
We have to compete regardless
Umekubali sasa kuwa una team ya kawaidaKabla ya kujenga timu lazima uwe na uhakika na kocha unaejenga nae timu.
Carrick subs zake ni hovyo, selection ya kikosi why sesko haanzi au sababu ni ametoka majeruhi, me sijui??
Wachezaji wake inafaa awape morali ya kujali Kila dakika ndani ya dakika tisini.
Sitaki kueleza sana, mpaka December tutamjua zaidi alivyo.
EPL ni ngumu of course, lkn tunapoteza points always Kwa kukosa kujali Kila dakika na game management.
Baleba kama akiwa fit atasaidia, maana kweny 6 DM ni mzuri sana kuliko tielemans au Santos
We have to compete regardless
Mkuu kuna mengi ya kusema, ngonja tuendelee kuangalia.Umeongea point ya msingi sana, tatizo la man u la sasa ni kocha. Kocha anashindwa kusoma mchezo ndio maana hajui aanze na mchezaji na yupi hamfanyie sub. Tatizo la pili la utd ni morali ya wachezaji kuwa chini na hili limekithiri nadhani toka aondoke Ferg. Ni kama wachezaji huwa hawajui nini wanatafuta kwenye mashindano, they can't fight. Wao wanajua kupambana wanapokutana na timubkubwa tu na ndio maana huwa wanashinda. Hii inaonesha jinsi walivyokata tamaa na kujiona wao ni under dog, hii sio hulka ya timu kubwa. Machester wanahitaji matibabu ya saikoloji zaidi ya usajili, haiwezekani mchezaji anakiwasha kweli kweli timu fulan ila akifika utd anafifia.
Timu ninayo nzuri, sema matokeo ndio yanaleta maneno mengi.Umekubali sasa kuwa una team ya kawaida
Ila si mlikuwa mnamsifia kuwa akipewa team anaechukua ubingwa kile mlichoomba kimejibu Sasa mnalalamika niniTimu ninayo nzuri, sema matokeo ndio yanaleta maneno mengi.
Lkn saiv nalia na mindset za wachezaji, na kocha namlaumu Kwa selection ya kikosi haswa sesko kuanzia nje ( labda sababu alikuwa injury)
Pili naona anazngua kweny sub, na tatu namlaumu hajui kuamusha morali ya wachezaji haswa tukiwa tunaongoza
Hivi kwa nn anamtoaga mainooKabla ya kujenga timu lazima uwe na uhakika na kocha unaejenga nae timu.
Carrick subs zake ni hovyo, selection ya kikosi why sesko haanzi au sababu ni ametoka majeruhi, me sijui??
Wachezaji wake inafaa awape morali ya kujali Kila dakika ndani ya dakika tisini.
Sitaki kueleza sana, mpaka December tutamjua zaidi alivyo.
EPL ni ngumu of course, lkn tunapoteza points always Kwa kukosa kujali Kila dakika na game management.
Baleba kama akiwa fit atasaidia, maana kweny 6 DM ni mzuri sana kuliko tielemans au Santos
We have to compete regardless
Kumlalamika Carrick kwa sasa kwangu naona ni mapema sana...timu utakuja kukaa sawa muda si mwingiIla si mlikuwa mnamsifia kuwa akipewa team anaechukua ubingwa kile mlichoomba kimejibu Sasa mnalalamika nini
🤣🤣🤣 UCL tumebakiza mechi 10 tu tukabidhiwe kombe letu.Maiko Kaniki sioni akifika Pasaka hajatimuliwa
Maino mwaka huu wa moto sanaHivi kwa nn anamtoaga mainoo
Poa tuUkiangalia Hull city inavocheza ipo organized kule hii timu ya Manchester 😁 ..
Michael Carrick sijui huwa anacouch kitu gani uko mazoezini technical
timu inakatika km vile inacheza championship
ipo siku hii Manchester United itakula nane ikikutana na timu yenye finishing kali
leo Kuna hatari halland katupia tatu peke ake