Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakuu King faisal NtYga christeve88 min -me Bagabeach na wengineo wote tunaoendelea na mjadala kuhusu soko la usajili msimu huu nimekubaliana na michango yenu hasa jinsi United wanavyokabiliana sokoni.

Tulipoamua kuijenga United kutokea chini, tulianza na uongozi wa watu wenye maono ya mpira kulingana na rekodi zao. Lakini bado tumekuwa na tatizo la kujivuta sana kufanya maamuzi tunapohitajika kusajili kwa wakati. Je, Tatizo liko kwa mtoa pesa ambaye ni INEOS, scouting team inachelewesha kuchagua targets au ndio bado hatuna mvuto kwa wachezaji walio kwenye viwango vya juu kwa sasa?

Pep na City yake walikuwa hawaleti wachezaji wa gharama kubwa sana mara nyingi, ila walikuwa wanalivamia soko haraka sana wanakamilisha tagets zao ndio wanaenda mapumzikoni wakiwa wameishafunga soko la usajili. Ila kwa Utd huwa tunapambana sokoni hadi August 31 saa 5:59 usiku.
 
Wakuu King faisal NtYga christeve88 min -me Bagabeach na wengineo wote tunaoendelea na mjadala kuhusu soko la usajili msimu huu nimekubaliana na michango yenu hasa jinsi United wanavyokabiliana sokoni.

Tulipoamua kuijenga United kutokea chini, tulianza na uongozi wa watu wenye maono ya mpira kulingana na rekodi zao. Lakini bado tumekuwa na tatizo la kujivuta sana kufanya maamuzi tunapohitajika kusajili kwa wakati. Je, Tatizo liko kwa mtoa pesa ambaye ni INEOS, scouting team inachelewesha kuchagua targets au ndio bado hatuna mvuto kwa wachezaji walio kwenye viwango vya juu kwa sasa?

Pep na City yake walikuwa hawaleti wachezaji wa gharama kubwa sana mara nyingi, ila walikuwa wanalivamia soko haraka sana wanakamilisha tagets zao ndio wanaenda mapumzikoni wakiwa wameishafunga soko la usajili. Ila kwa Utd huwa tunapambana sokoni hadi August 31 saa 5:59 usiku.
Mimi naona tatizo kubwa ni maamuzi kuchelewa, targets wanajulikana mapema, ila mazungumzo na bargaining vinachukua muda sana.

Pia hatuna nguvu ya kimichezo kama zamani, hivyo si kila mchezaji wa kiwango cha juu anatuweka chaguo la kwanza,mfumo ukikaa sawa, hizi drama za usajili wa mwisho wa dirisha zitapungua.
 
Wakuu King faisal NtYga christeve88 min -me Bagabeach na wengineo wote tunaoendelea na mjadala kuhusu soko la usajili msimu huu nimekubaliana na michango yenu hasa jinsi United wanavyokabiliana sokoni.

Tulipoamua kuijenga United kutokea chini, tulianza na uongozi wa watu wenye maono ya mpira kulingana na rekodi zao. Lakini bado tumekuwa na tatizo la kujivuta sana kufanya maamuzi tunapohitajika kusajili kwa wakati. Je, Tatizo liko kwa mtoa pesa ambaye ni INEOS, scouting team inachelewesha kuchagua targets au ndio bado hatuna mvuto kwa wachezaji walio kwenye viwango vya juu kwa sasa?

Pep na City yake walikuwa hawaleti wachezaji wa gharama kubwa sana mara nyingi, ila walikuwa wanalivamia soko haraka sana wanakamilisha tagets zao ndio wanaenda mapumzikoni wakiwa wameishafunga soko la usajili. Ila kwa Utd huwa tunapambana sokoni hadi August 31 saa 5:59 usiku.
Nakubaliana na wewe mkuu ila tatizo la utd kwenye soko ni brand ya utd ni kubwa yaani ikimtaka mchezaji hata awe wa kawaida anapandishwa bei. Hii approach ya kimya kimya nimeipenda.
 
Wakuu King faisal NtYga christeve88 min -me Bagabeach na wengineo wote tunaoendelea na mjadala kuhusu soko la usajili msimu huu nimekubaliana na michango yenu hasa jinsi United wanavyokabiliana sokoni.

Tulipoamua kuijenga United kutokea chini, tulianza na uongozi wa watu wenye maono ya mpira kulingana na rekodi zao. Lakini bado tumekuwa na tatizo la kujivuta sana kufanya maamuzi tunapohitajika kusajili kwa wakati. Je, Tatizo liko kwa mtoa pesa ambaye ni INEOS, scouting team inachelewesha kuchagua targets au ndio bado hatuna mvuto kwa wachezaji walio kwenye viwango vya juu kwa sasa?

Pep na City yake walikuwa hawaleti wachezaji wa gharama kubwa sana mara nyingi, ila walikuwa wanalivamia soko haraka sana wanakamilisha tagets zao ndio wanaenda mapumzikoni wakiwa wameishafunga soko la usajili. Ila kwa Utd huwa tunapambana sokoni hadi August 31 saa 5:59 usiku.
Nakubaliana na wewe mkuu ila tatizo la utd kwenye soko ni brand ya utd ni kubwa yaani ikimtaka mchezaji hata awe wa kawaida anapandishwa bei. Hii approach ya kimya kimya nimeipenda.
 
Wakuu King faisal NtYga christeve88 min -me Bagabeach na wengineo wote tunaoendelea na mjadala kuhusu soko la usajili msimu huu nimekubaliana na michango yenu hasa jinsi United wanavyokabiliana sokoni.

Tulipoamua kuijenga United kutokea chini, tulianza na uongozi wa watu wenye maono ya mpira kulingana na rekodi zao. Lakini bado tumekuwa na tatizo la kujivuta sana kufanya maamuzi tunapohitajika kusajili kwa wakati. Je, Tatizo liko kwa mtoa pesa ambaye ni INEOS, scouting team inachelewesha kuchagua targets au ndio bado hatuna mvuto kwa wachezaji walio kwenye viwango vya juu kwa sasa?

Pep na City yake walikuwa hawaleti wachezaji wa gharama kubwa sana mara nyingi, ila walikuwa wanalivamia soko haraka sana wanakamilisha tagets zao ndio wanaenda mapumzikoni wakiwa wameishafunga soko la usajili. Ila kwa Utd huwa tunapambana sokoni hadi August 31 saa 5:59 usiku.
Ineos kwenye maamuzi wanachelewa japo kuna kitu nahisi, ni timu zinazouza kutaka hela nying haswa wakisikia ni united.
Lakini nafurahia, INEOS Wana ramani na project ya kuchukua EPL 2028
Ngonj nione hii project kama itafanikiwa
Pia, nawapongeza Kwa project ya uwanja mpya, ambayo CEO berrada alisema haita athiri operation za football na usajili kiujumla

Kuna haja sasa kuwaamini INEOS
 
Wakuu King faisal NtYga christeve88 min -me Bagabeach na wengineo wote tunaoendelea na mjadala kuhusu soko la usajili msimu huu nimekubaliana na michango yenu hasa jinsi United wanavyokabiliana sokoni.

Tulipoamua kuijenga United kutokea chini, tulianza na uongozi wa watu wenye maono ya mpira kulingana na rekodi zao. Lakini bado tumekuwa na tatizo la kujivuta sana kufanya maamuzi tunapohitajika kusajili kwa wakati. Je, Tatizo liko kwa mtoa pesa ambaye ni INEOS, scouting team inachelewesha kuchagua targets au ndio bado hatuna mvuto kwa wachezaji walio kwenye viwango vya juu kwa sasa?

Pep na City yake walikuwa hawaleti wachezaji wa gharama kubwa sana mara nyingi, ila walikuwa wanalivamia soko haraka sana wanakamilisha tagets zao ndio wanaenda mapumzikoni wakiwa wameishafunga soko la usajili. Ila kwa Utd huwa tunapambana sokoni hadi August 31 saa 5:59 usiku.
Mkuu unachosema ni kweli hili pia ni tatizo la mda mrefu sana kwa united. Hivyo huenda uongozi wameamu kubadilika na kufanya sajili za kimya kwa haraka sana.
 
King faisal fuente NtYga
Sio kwamba united hatukuwa na target no.
target ilikuw ni viungo watatu haswa EPL proven, mpaka sasa kama tutampata baleba au DM mwingine tutakuwa tumefanikiwa kweny kujenga au build up ya kiungo kama tulivyofanya msimu uliopita kweny attacking phase
United ya sasa imegundua kujenga team sio kutumia hela nying, kama ambavyo alifanya man city, Liverpool, arsenal, psg, barcelona etc wote hawa ukifatilia wakati wanajenga team hawakufanya sajili kubwa au kutoa mshahara mkubwa.

Watuletee baleba, na ikibidi walete na Summerville yule left winger hapo team itakuwa na balance na itakuwa umeongeza thamani ya kushindana uwanjani na timu yoyote katika mashindano yote.
Tukipata na beki ya kushoto hapo sawa ila summervile kuja inategemeana na rashford kuchukuliwa kwa mkopo au kununuliwa na club nyingine.
 
Tukipata na beki ya kushoto hapo sawa ila summervile kuja inategemeana na rashford kuchukuliwa kwa mkopo au kununuliwa na club nyingine.
Rashford itabidi tumtoe Kwa namna yoyote,
Beki ya kushoto ni muhimu sana lkn sioni dalili km tutasajili dirisha hili, labda wafanye surprise kama mtindo wao huu mpya

Vp carrick, munamuamini ??
 
Wakuu,
NtYga
Min me
King Faisal
Fuente
Bagabeach
Selikavu na
Wadau wote hapa natumai mko vema na mnaendelea vizuri na mapambano ya kila siku..

Mijadala mingi imenipita,
Nitumie wasaa huu kupongeza hata kidogo kilichopatikana..

Andrey Santos: huyu bwana nimemuona game Moja ama mbili akitokea benchi, BIG GAMES, alibadili Kiungo Cha Chelsea..
Sina shaka kabisa na usajili huu..tumuombee Kheri..
Kucheza mbele ya Enzo Fernandez na Moises Caicedo sio jambo rahisi.. na huwezi uzwa kwa £ 50 M..natumai hatujakosea sana

Youri Tielmans: Manchester United imepata mchezaji sahihi sana, changamoto labda iwe Majeraha na huenda miaka yake kama mwili wake utashindwa ku respond na ile 30's

Bado tunahitaji Viungo..
Kiungo wa Fujo Fujo na zaidi,
Kiungo fundi wa mpira..
Foundation ya ujenzi wa timu imara nadhani idara namba Moja ni Kiungo..
Hispania ya Jana imetukumbusha hili.. Otherwise Kobbie arudi na maajabu zaidi..

SI unit ya ujenzi wa Kiungo inapaswa iwe Ile (Sergio Bosquets, Xavi Hernandez na Andeas Iniesta)..

Kuna Spain ya Luis Aragones..(alale vema huko aliko) simuoni akitajwa popote kama Moja ya Walimu mahiri kabisa wa mpira, ila natumai kina pep walichota Maarifa pale..

Bado tunahitaji Kiungo wa daraja la juu kutusogeza..bahati mbaya hawapo sokoni..

Kijana wa Wolves na Baleba nadhani wanafaa sana kuongezwa kundini..
 
Wakuu,
NtYga
Min me
King Faisal
Fuente
Bagabeach
Selikavu na
Wadau wote hapa natumai mko vema na mnaendelea vizuri na mapambano ya kila siku..

Mijadala mingi imenipita,
Nitumie wasaa huu kupongeza hata kidogo kilichopatikana..

Andrey Santos: huyu bwana nimemuona game Moja ama mbili akitokea benchi, BIG GAMES, alibadili Kiungo Cha Chelsea..
Sina shaka kabisa na usajili huu..tumuombee Kheri..
Kucheza mbele ya Enzo Fernandez na Moises Caicedo sio jambo rahisi.. na huwezi uzwa kwa £ 50 M..natumai hatujakosea sana

Youri Tielmans: Manchester United imepata mchezaji sahihi sana, changamoto labda iwe Majeraha na huenda miaka yake kama mwili wake utashindwa ku respond na ile 30's

Bado tunahitaji Viungo..
Kiungo wa Fujo Fujo na zaidi,
Kiungo fundi wa mpira..
Foundation ya ujenzi wa timu imara nadhani idara namba Moja ni Kiungo..
Hispania ya Jana imetukumbusha hili.. Otherwise Kobbie arudi na maajabu zaidi..

SI unit ya ujenzi wa Kiungo inapaswa iwe Ile (Sergio Bosquets, Xavi Hernandez na Andeas Iniesta)..

Kuna Spain ya Luis Aragones..(alale vema huko aliko) simuoni akitajwa popote kama Moja ya Walimu mahiri kabisa wa mpira, ila natumai kina pep walichota Maarifa pale..

Bado tunahitaji Kiungo wa daraja la juu kutusogeza..bahati mbaya hawapo sokoni..

Kijana wa Wolves na Baleba nadhani wanafaa sana kuongezwa kundini..
Karibu sana mkuu


Tupate tuu mkabaji kwa sasa world class mmoja then tungojee Carrick Ball
 
Wakuu,
NtYga
Min me
King Faisal
Fuente
Bagabeach
Selikavu na
Wadau wote hapa natumai mko vema na mnaendelea vizuri na mapambano ya kila siku..

Mijadala mingi imenipita,
Nitumie wasaa huu kupongeza hata kidogo kilichopatikana..

Andrey Santos: huyu bwana nimemuona game Moja ama mbili akitokea benchi, BIG GAMES, alibadili Kiungo Cha Chelsea..
Sina shaka kabisa na usajili huu..tumuombee Kheri..
Kucheza mbele ya Enzo Fernandez na Moises Caicedo sio jambo rahisi.. na huwezi uzwa kwa £ 50 M..natumai hatujakosea sana

Youri Tielmans: Manchester United imepata mchezaji sahihi sana, changamoto labda iwe Majeraha na huenda miaka yake kama mwili wake utashindwa ku respond na ile 30's

Bado tunahitaji Viungo..
Kiungo wa Fujo Fujo na zaidi,
Kiungo fundi wa mpira..
Foundation ya ujenzi wa timu imara nadhani idara namba Moja ni Kiungo..
Hispania ya Jana imetukumbusha hili.. Otherwise Kobbie arudi na maajabu zaidi..

SI unit ya ujenzi wa Kiungo inapaswa iwe Ile (Sergio Bosquets, Xavi Hernandez na Andeas Iniesta)..

Kuna Spain ya Luis Aragones..(alale vema huko aliko) simuoni akitajwa popote kama Moja ya Walimu mahiri kabisa wa mpira, ila natumai kina pep walichota Maarifa pale..

Bado tunahitaji Kiungo wa daraja la juu kutusogeza..bahati mbaya hawapo sokoni..

Kijana wa Wolves na Baleba nadhani wanafaa sana kuongezwa kundini..
Mkuu karibu sana. Pia unachosema ni kweli tumalize hili suala la kiungo kabisa.
 
Samahani kama ninazidisha mahaba kwa Baleba ila huyu Jamaa sijajua kwanini ninamuamini kuzidi maelezo japo hakupata Game time za kutosha, kuna muda nazani alivyokiwasha AFCON nayo ilinipa picha Dogo bado hajapwaya kuongeza nguvu yake OT.

Sema naona watu wengi sana washamkatia tamaa (Baleba) na Alex Scott anapigiwa chepuo sana ila sema yote ya yote yeyote kati ya hawa wawili atue OT sina kinyongo kila mtu na macho yake.
Screenshot_20260714-184941 (1).jpg
 
Wakuu,
NtYga
Min me
King Faisal
Fuente
Bagabeach
Selikavu na
Wadau wote hapa natumai mko vema na mnaendelea vizuri na mapambano ya kila siku..

Mijadala mingi imenipita,
Nitumie wasaa huu kupongeza hata kidogo kilichopatikana..

Andrey Santos: huyu bwana nimemuona game Moja ama mbili akitokea benchi, BIG GAMES, alibadili Kiungo Cha Chelsea..
Sina shaka kabisa na usajili huu..tumuombee Kheri..
Kucheza mbele ya Enzo Fernandez na Moises Caicedo sio jambo rahisi.. na huwezi uzwa kwa £ 50 M..natumai hatujakosea sana

Youri Tielmans: Manchester United imepata mchezaji sahihi sana, changamoto labda iwe Majeraha na huenda miaka yake kama mwili wake utashindwa ku respond na ile 30's

Bado tunahitaji Viungo..
Kiungo wa Fujo Fujo na zaidi,
Kiungo fundi wa mpira..
Foundation ya ujenzi wa timu imara nadhani idara namba Moja ni Kiungo..
Hispania ya Jana imetukumbusha hili.. Otherwise Kobbie arudi na maajabu zaidi..

SI unit ya ujenzi wa Kiungo inapaswa iwe Ile (Sergio Bosquets, Xavi Hernandez na Andeas Iniesta)..

Kuna Spain ya Luis Aragones..(alale vema huko aliko) simuoni akitajwa popote kama Moja ya Walimu mahiri kabisa wa mpira, ila natumai kina pep walichota Maarifa pale..

Bado tunahitaji Kiungo wa daraja la juu kutusogeza..bahati mbaya hawapo sokoni..

Kijana wa Wolves na Baleba nadhani wanafaa sana kuongezwa kundini..
Karibu mkuu
Ineos nadhani hili dirisha wanaleta viungo watatu nadhani atakuja baleba kama bei yake wataona inafaa
Attacking phase tulijenga msimu uliopita, saiv tunajenga kiungo imara.
Tutaona, tusibrie
 
Back
Top Bottom