Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

fuentte Kuna wachezaji wengi uongozi ulizembea kuwachukua mapema kama erling Holland,caicedo na Bellingham. Licha ya ole kuwasisitizia uongozi haukuwa seriously. Na Leo hawa wachezaji ndio wanafanya vizuri naona ineos kwa kupitia Christopher vivel wameanza kuwa makini kwenye kutafuta vipaji kama huyo dogo mkolombia waliemsajili. Bisaka yule mie naona walimchukua kwa ajili ya kufanya tackling.😁
Tukaenda okota hojland tukifikiri atakua haland😀
 
Kuna Options united ikikomaa nazo itapata wachezaji wazuri but inabidi wasajili viungo kama watatu hivi kwasababu hakuna Kiungo wa Kati ambaye Yuko well settled hivyo ni kama sasa timu na Kocha wafanye kazi ya kuwa unlock hao ambao Wana potential...
 
Kituo kifuatacho ni Manu Koné kutoka As Roma.
Watuletee hata huyo ili kuongeza nguvu kwenye kiungo.
Kitu kinachonishangaza ni kwamba United hatukuwa na targets zetu hasa midfielders chaguo la kwanza hadi la 3 kwenye nafasi tajwa tokea mwaka jana? Suala la bei kwa EPL proven players linajulikana hivyo huu utetezi sitakubaliana nao kamwe!
 
Bado baleba ni mtu muhimu Kwa upande wangu.
Ineos wanajua kufanya project kuliko kina glazers
Wanajua kusajili...kwenye project mpya haifai kusajili Kwa hela nying au kutoa mshahara mkubwa.
Tutafika na msimu ujao amini tunasonga mbele Wala haturudi nyuma.
Lakini natamani tusajili baleba na CM mwingine, pia tumpate Summerville, rashfod aondoke.
Lkn kama itafaa sana tupate na left back.
Me wasiwasi upo Kwa carrick sio kweny project ya ineos
 
Kuna fan wa utd ametoa mawazo kwamba, ikiwa Mbeumo, Sesko na Cunha wanalipwa 150k-180k kwa wiki na wamepambana hadi timu imerudi champions league itakuaje Matheus na Tonali wagekuja na kulipwa 200k- 250k?

Hii ingeleta shida dressing room kama ilivokua kwa Pogba na Sanchez! Nimejaribu kumuelewa hoja yake.
Ni mjinga tu ndio anaweza support wachezaji wa bei ghali au wenye majina waje utd. Wamekuja kina Sanchez, Pogba, De maria, Lukaku, Falcao na bado hawakuisaidia club. Nawalongeza wamilik wa sasa ENOES kwa kusajili wachezaji wasio na majina na wenye moyo wa kupigania club.
Binafs nimefurahi sana kuwakosa kina Tonal, Fernandez na Anderson. Hawa wangekuja kuharibu balance ya timu kwa kujion mastaa. United inataka average player with talent hata Christian Rinald tulimchukua alikuwa averge tukamtengeneza.
 
Ni mjinga tu ndio anaweza support wachezaji wa bei ghali au wenye majina waje utd. Wamekuja kina Sanchez, Pogba, De maria, Lukaku, Falcao na bado hawakuisaidia club. Nawalongeza wamilik wa sasa ENOES kwa kusajili wachezaji wasio na majina na wenye moyo wa kupigania club.
Binafs nimefurahi sana kuwakosa kina Tonal, Fernandez na Anderson. Hawa wangekuja kuharibu balance ya timu kwa kujion mastaa. United inataka average player with talent hata Christian Rinald tulimchukua alikuwa averge tukamtengeneza.
👏
 
Bado baleba ni mtu muhimu Kwa upande wangu.
Ineos wanajua kufanya project kuliko kina glazers
Wanajua kusajili...kwenye project mpya haifai kusajili Kwa hela nying au kutoa mshahara mkubwa.
Tutafika na msimu ujao amini tunasonga mbele Wala haturudi nyuma.
Lakini natamani tusajili baleba na CM mwingine, pia tumpate Summerville, rashfod aondoke.
Lkn kama itafaa sana tupate na left back.
Me wasiwasi upo Kwa carrick sio kweny project ya ineos
Kwamba all roads leads to baleba.
 
Watuletee hata huyo ili kuongeza nguvu kwenye kiungo.
Kitu kinachonishangaza ni kwamba United hatukuwa na targets zetu hasa midfielders chaguo la kwanza hadi la 3 kwenye nafasi tajwa tokea mwaka jana? Suala la bei kwa EPL proven players linajulikana hivyo huu utetezi sitakubaliana nao kamwe!
Kuhusu viungo 3 ni kipao mbele cha ineos. Lakini bila beki ya kushoto tuhesabu maumivu. Mie ninaweza kuvumilia kwa winga ya kushoto na beki ya kulia kwa sasa.
 
min -me Bagabeach fuentte Mr Mike nimejaribu kumfatilia kidogo huyu Manu Koné. Kinacho niogopesha ni kuwa na historia ya kupata injury sana. Kingine style ya uchezaji wake kwenye ligi ya series A(Italy) akija EPL labda kama Carrick atamfanya awe hatari lakini tofauti na hivyo sijui kwakweli.

Kufanya vizuri World Cup akiwa na France ni tofauti na kwenye Ligi ya EPL ambayo ni ngumu sana.
Lakini sijamaanisha kwamba ni mbovu au hafai huenda uongozi kuna kitu wameona kutoka kwake. Lakini kwangu mie naona mamadou sangare na baleba ndio wanaofaa. Nipo tayari kukosolewa kwa mawazo yangu.
 
min -me Bagabeach fuentte Mr Mike nimejaribu kumfatilia kidogo huyu Manu Koné. Kinacho niogopesha ni kuwa na historia ya kupata injury sana. Kingine style ya uchezaji wake kwenye ligi ya series A(Italy) akija EPL labda kama Carrick atamfanya awe hatari lakini tofauti na hivyo sijui kwakweli.

Kufanya vizuri World Cup akiwa na France ni tofauti na kwenye Ligi ya EPL ambayo ni ngumu sana.
Lakini sijamaanisha kwamba ni mbovu au hafai huenda uongozi kuna kitu wameona kutoka kwake. Lakini kwangu mie naona mamadou sangare na baleba ndio wanaofaa. Nipo tayari kukosolewa kwa mawazo yangu.
Mkuu King faisal kuanzia Edesron, Santos na hata huyu Kone ni panic buys kama ilivyo kawaida yetu. Hakuna mfuatiliaji yeyote wa EPL alikuwa haoni gap la Man Utd kwenye kiungo ila inaonekana hatukufanya maandalizi ya machaguo yanayoendana na uhitaji pamoja na gharama.

Msimu wake uliofuata Amorin aliainisha targets zake na akazipata cheaply na kwa wakati sahihi. Ila sasa naona kama tumerudi kwenye defaulty ya ile Man Utd ya akina OLE ya kuletewa yeyote anayepatikana.

Maana yake wanamfanyie Kone scouting kwenye hizi game za WC tena akiwa amezungukwa na world class players wa ufaransa
 
Back
Top Bottom