Ni kweli unachosema mkuu.Mkuu King faisal kuanzia Edesron, Santos na hata huyu Kone ni panic buys kama ilivyo kawaida yetu. Hakuna mfuatiliaji yeyote wa EPL alikuwa haoni gap la Man Utd kwenye kiungo ila inaonekana hatukufanya maandalizi ya machaguo yanayoendana na uhitaji pamoja na gharama.
Msimu wake uliofuata Amorin aliainisha targets zake na akazipata cheaply na kwa wakati sahihi. Ila sasa naona kama tumerudi kwenye defaulty ya ile Man Utd ya akina OLE ya kuletewa yeyote anayepatikana.
Maana yake wanamfanyie Kone scouting kwenye hizi game za WC tena akiwa amezungukwa na world class players wa ufaransa
Daaah! mkuu upo chap yaani nataka niilete hii habar nakuta umeiweka. Safi san hii kazi nzuri ineos wapo serious. Huyu mwamba atatupa magoli mengi sana nadhani ni moja ya udajili bora sana utd wanafanya. Huyu ni mtu wa kazi kweli kweli.
Ile sababu kwamba tunasajili wachezaji wanaoipenda timu pamoja na kuangalia thamani halisi ya soko inaonekana ni utapeli mtupu. Huyu dogo katoka Leicester kaenda Villa lakini sikuona interest toka klabu nyingine kubwa zaidi ya Utd leo hii baada ya kukosa targets zake.
Mkuu christeve88 kwani Tielemans na Santos wanakaribiana uwezo na Baleba, Wharton, Anderson au hata Tchounamen?Daaah! mkuu upo chap yaani nataka niilete hii habar nakuta umeiweka. Safi san hii kazi nzuri ineos wapo serious. Huyu mwamba atatupa magoli mengi sana nadhani ni moja ya udajili bora sana utd wanafanya. Huyu ni mtu wa kazi kweli kweli.
Tielemans ana umri gani mkuu?Mkuu christeve88 kwani Tielemans na Santos wanakaribiana uwezo na Baleba, Wharton, Anderson au hata Tchounamen?
Binafsi naona usajili huu kama tunakimbizana na muda zaidi
🚨 @David_Ornstein via @TheAthleticFC podcast: Manchester United will attack the midfiled market again. There will be another midfield signing.Mkuu christeve88 kwani Tielemans na Santos wanakaribiana uwezo na Baleba, Wharton, Anderson au hata Tchounamen?
Binafsi naona usajili huu kama tunakimbizana na muda zaidi
Mkuu frankly speaking kwa uchezaji wa utd Tielemans atatufaa sana nadhani kuliko hata hao uliowataja. Huyu bwana ni very aggressive hasa anapolikaribia goli na anauwezo wa kukupa goli kadhaa nje ya majukumu yake uwanjani. Ni mtu mwenye maamuzi sahihi wakati sahihi namaanisha anaweza kukupa suprise nyingi uwanjani na kukupa magoli aina ya Lampard, Scholes au Gerad. Wachezaji kama hawa ni muhimu sana hasa pale njia za kupata magoli zinapokuwa zimefungwa. Huyu mwamba atatufaa.Mkuu christeve88 kwani Tielemans na Santos wanakaribiana uwezo na Baleba, Wharton, Anderson au hata Tchounamen?
Binafsi naona usajili huu kama tunakimbizana na muda zaidi
29Tielemans ana umri gani mkuu?
NtYga hapa sio kina fabrizio na ornstein tu, hadi ma content creator. Pia wameshitushwa kwa jinsi ineos, walivyofanya haraka na upesi kukamilisha dili hili. Bila kuwa na tetesi zozote, mie naona huu ni usajili mzuri sana. Maana Youri tielemans anao uzoefu na EPL, ijapokua hana jina kubwa, kama akina Eliot Anderson,sandro tonali na mateus Fernandes. Lakini jamaa anajua sana.
Kweli kabisa mkuu mie nimeanza kuwaelewa ineos kwamba wanafocus sana na future ya united.Daaah! mkuu upo chap yaani nataka niilete hii habar nakuta umeiweka. Safi san hii kazi nzuri ineos wapo serious. Huyu mwamba atatupa magoli mengi sana nadhani ni moja ya udajili bora sana utd wanafanya. Huyu ni mtu wa kazi kweli kweli.
fuentte unachosema ni sawa Tielemans, hana jina kubwa lakini sio sababu ya kusema, sio mchezaji mzuri. Kisa hakuna timu nyingine zilizotaka kumchukua, lakini ujue pia hizi sajili za sasa, zimekua pia za kipuuzi sana. Wachezaji wanauzwa kwa pesa kubwa sana, ambayo haiendani kabisa na uwezo wao(akiflop na kushindwa kudelivery hii hasara club mnaibeba wenyewe).Hili suala limetusumbua sana, hasa kipindi cha Ed Woodward. Pia sajili ni kamali, united imekosa target zake muhimu kulingana na falsafa mbalimbali wanazotumia ineos kama:Ile sababu kwamba tunasajili wachezaji wanaoipenda timu pamoja na kuangalia thamani halisi ya soko inaonekana ni utapeli mtupu. Huyu dogo katoka Leicester kaenda Villa lakini sikuona interest toka klabu nyingine kubwa zaidi ya Utd leo hii baada ya kukosa targets zake.
We are officially a mid table team kama usajili wa Tielemans toka Villa unatufurahisha hivi.
Bado sielewi kwanini Baleba hatui tofali choma yani sielewi kwanini.Ile sababu kwamba tunasajili wachezaji wanaoipenda timu pamoja na kuangalia thamani halisi ya soko inaonekana ni utapeli mtupu. Huyu dogo katoka Leicester kaenda Villa lakini sikuona interest toka klabu nyingine kubwa zaidi ya Utd leo hii baada ya kukosa targets zake.
We are officially a mid table team kama usajili wa Tielemans toka Villa unatufurahisha hivi.
29Tielemans ana umri gani mkuu?
Ndio mkuuKwamba all roads leads to baleba.