NtYga
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 4,984
- 12,832
Barca dharau nyingi sana wanashindwa kumbeba Bwana mdogo kwa Euro 30mHapo kama rashford,ugarte, na zirkee wakiuzwa, pia nimesikia fernabache wanataka kumnunua mason greenwood na hapo pia kuna share ya Manchester United, hivyo 100m itaongezeka na pia tunaweza kupata angalau beki ya kushoto na stricker.