Palac
JF-Expert Member
- Mar 29, 2025
- 2,772
- 7,319
Carrick ball itajulikana tuWazee mjitahidi mtengeneze timu. Sio inafika Christmas mnaanza kushangilia Man City, haipendezi.
Carrick ball itajulikana tuWazee mjitahidi mtengeneze timu. Sio inafika Christmas mnaanza kushangilia Man City, haipendezi.
Kama aseno alivyoandaliwa na cityKuna kila dalili ya mtu kuandaliwa ubingwa wa mezani
Ligi ishaisha hapa tupewe tu ubingwa wetu
Kaka sielewi ninajihisi nini kama ni Hasira ama huzuni maana naona kabisa furaha yenyewe sina kwa kilichotokea Leo sokoni bwana Mr Mike atakubariana na mimi tu kuwa INEOS wanaupuuzi kiasi ambacho itatuwia ugumu san Mashabiki wa Man U kuwasamehe ila acha tuone sisemi sana.NtYga fuentte Mr Mike ze-dudu mateus Fernandes to Tottenham, here we go pound £85m waliyokua wanaitaka westham, with no adds on. pia mchezaji kulipwa pound £250k kwa wiki na pesa nyingine ya usajili pamoja na wakala wake. Sina mengi ila uongozi wa manunited, wanazingua sana. Leo siku nzima walikua wanafanya contact kwa mchezaji na wakala wake, ili iweje sasa. Nakama walikua hawataki,kutoa hiyo hela si wangemwacha tu.
Hapa ndio nimejua Ruben amorim, alikua sahihi kuhusu wamiliki wa united. Mchezaji hana msimamo, yeye anasema ataenda popote iwe man united au Tottenham. Na bado uongozi unaendelea kumshawishi, ni bora wangemtema kitambo tukaepusha hii dharau. Kama lengo ni baleba si wangesema tu. Dah ijapokua mateus Fernandes hana hiyo thamani lakini haikustahili tumpoteze kwa Tottenham ambaye alikua anaenda kushuka daraja.
Bora hata ingekua club nyingine kama psg au real Madrid.
Kaka sio poa hii itakua all roads leads to baleba.😁Kaka sielewi ninajihisi nini kama ni Hasira ama huzuni maana naona kabisa furaha yenyewe sina kwa kilichotokea Leo sokoni bwana Mr Mike atakubariana na mimi tu kuwa INEOS wanaupuuzi kiasi ambacho itatuwia ugumu san Mashabiki wa Man U kuwasamehe ila acha tuone sisemi sana.
Hii club itatuua kwa msongo wa mawazo siku moja mkuu King faisal .NtYga fuentte Mr Mike ze-dudu mateus Fernandes to Tottenham, here we go pound £85m waliyokua wanaitaka westham, with no adds on. pia mchezaji kulipwa pound £250k kwa wiki na pesa nyingine ya usajili pamoja na wakala wake. Sina mengi ila uongozi wa manunited, wanazingua sana. Leo siku nzima walikua wanafanya contact kwa mchezaji na wakala wake, ili iweje sasa. Nakama walikua hawataki,kutoa hiyo hela si wangemwacha tu.
Hapa ndio nimejua Ruben amorim, alikua sahihi kuhusu wamiliki wa united. Mchezaji hana msimamo, yeye anasema ataenda popote iwe man united au Tottenham. Na bado uongozi unaendelea kumshawishi, ni bora wangemtema kitambo tukaepusha hii dharau. Kama lengo ni baleba si wangesema tu. Dah ijapokua mateus Fernandes hana hiyo thamani lakini haikustahili tumpoteze kwa Tottenham ambaye alikua anaenda kushuka daraja.
Bora hata ingekua club nyingine kama psg au real Madrid.
Baleba naye anatia shaka kwa kiwango chake cha msimu uliopita. Imagine hadi sasa sijaona tetesi za usajili toka klabu kubwa kumtaka zaidi ya Man Utd yetu mbovu.Kaka sio poa hii itakua all roads leads to baleba.😁
Kama eneo la kiungo limeonyesha uhitaji wa wazi kabisa lakini bado tunajibana kutoa hela, beki wa pembeni si ndio itatakiwa tumuombee Dalot apandishe kiwango msimu ujao!Kaka sielewi ninajihisi nini kama ni Hasira ama huzuni maana naona kabisa furaha yenyewe sina kwa kilichotokea Leo sokoni bwana Mr Mike atakubariana na mimi tu kuwa INEOS wanaupuuzi kiasi ambacho itatuwia ugumu san Mashabiki wa Man U kuwasamehe ila acha tuone sisemi sana.
fuentte unachosema ni ukweli ila huenda uongozi wanajua wanachokifanya, lakini ni vizuri kwenye kiungo ukapata mchezaji quality, hata mmoja kutoka EPL . Huyo Tchouamen kama wanadhania atashusha mshahara, hilo uongozi wa united wasahau kabisa. Na kingine ni kwamba bado Madrid, wanasita kumuuza na ikitokea France 🇫🇷, akabeba hii world cup.Hii club itatuua kwa msongo wa mawazo siku moja mkuu King faisal .
Man Utd inataka kuonekana kuwa ni klabu kubwa ila inataka kusajili kwa gharama za klabu ndogo. Ni sawa na mwanamke aliyekuwa na mvuto mbele ya wanaume ila baada ya muda kwenda bado anataka kutambulika kwa sifa zake za awali badala ya kuukubali ukweli na kubadilika kuendana na mazingira halisi.
Kwa sasa wachezaji hawaangalii legacy ya klabu ila mustakabali wa maisha yao. Sikatai kwamba jamaa wanataka kununua wachezaji kwa thamani yao halisi sokoni ila tukubali kuwa lazima tutumie pesa zaidi ili kurudisha ushindani uwanjani na mambo ya mvuto yatafuata mbele ya safari. Tuchague target zetu kwa usahihi ila suala la kumwaga pesa kwenye soko la usajili halikwepeki kwa sasa.
Ndio hivyo na Brighton wanataka 75m, hapa option iliyobaki ni kumchukua tonali au Scotti. Ndio uangali kiungo 1 nje ya EPL.Baleba naye anatia shaka kwa kiwango chake cha msimu uliopita. Imagine hadi sasa sijaona tetesi za usajili toka klabu kubwa kumtaka zaidi ya Man Utd yetu mbovu.
Bora hata kidogo kwa dalot, beki ya kushoto ndio hitaji la kwanza muhimu. Na wanofiti ni Lewis hall kutoka newcastle ambapo kumtoa inahitajika pesa ya maana. Option ya pili ni maxi araujo kutoka sport lisbon nao wanasema hawana mpango wa kumuuza ila timu yoyote itakayomtaka iande kutoa kitita cha £100m. Hivyo mkuu bado naona giza mbele yetu.Kama eneo la kiungo limeonyesha uhitaji wa wazi kabisa lakini bado tunajibana kutoa hela, beki wa pembeni si ndio itatakiwa tumuombee Dalot apandishe kiwango msimu ujao!
Scott hauzwi kwa pesa kununulia andazi, yule bado dam changa, yule dogo wa lille mmoroko, labda akija na yule mido mfaransa wa real madrid angalau kutakuwa na balance. Man u hawezi toa pesa ya kumnunua tonali wala scott.Ndio hivyo na Brighton wanataka 75m, hapa option iliyobaki ni kumchukua tonali au Scotti. Ndio uangali kiungo 1 nje ya EPL.
Ndio najua Bournemouth wamesema hawamuzi lakini ikitokea ofa nzuri kuanzia £80m plus wanaweza kumuuza hata huyo tonali bila £100m humpati. Hata Tchouamen amsahau maana hawezi kushusha mshahara na pia Madrid watataka pesa kubwa zaidi ikitokea France 🇫🇷 kabeba world cup.Scott hauzwi kwa pesa kununulia andazi, yule bado dam changa, yule dogo wa lille mmoroko, labda akija na yule mido mfaransa wa real madrid angalau kutakuwa na balance. Man u hawezi toa pesa ya kumnunua tonali wala scott.
Tonali anaenda spurs,scott bado haieleweki man u wanachungulia pochi, baleba amedrop man u, hawawezi kubet, yule dogo wa moroko, na ile mido madrid ndo karata ya mwisho ya utd otherwise wasahau kushindania ubingwa wa epl.Ndio najua Bournemouth wamesema hawamuzi lakini ikitokea ofa nzuri kuanzia £80m plus wanaweza kumuuza hata huyo tonali bila £100m humpati. Hata Tchouamen amsahau maana hawezi kushusha mshahara na pia Madrid watataka pesa kubwa zaidi ikitokea France 🇫🇷 kabeba world cup.
Kisa kuwakosa hao wachezaji ndio tushindwe kushindania ubingwa?? Una wazimu wewTonali anaenda spurs,scott bado haieleweki man u wanachungulia pochi, baleba amedrop man u, hawawezi kubet, yule dogo wa moroko, na ile mido madrid ndo karata ya mwisho ya utd otherwise wasahau kushindania ubingwa wa epl.