NtYga
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 4,965
- 12,757
Hakuna kitu sipendi kama kubishana na mtu asiye na Facts kuna muda mpaka walimdhihaki Bruno Fernandes kwa kumlinganisha na Odegard ety Odegard Kiungo mchambuko, Lakini Game ya Juzi nilikuwa na Mwana Arsenal akakili kutoka moyoni kwamba "Kusema kweli hii Game ilimhitaji Bruno Fernandes"Mkuu NtYga kawapige nacho arsenal maana wanamuona Saka kama second to MESSI hivi, Na vile wamebeba ndoo huwezi kubishana nao bila mabandiko kama haya ukawashinda