Mr Mike
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 243
- 539
Arsenal walistahili kubeba ubingwa angalau awamu mbili na hata tatu kwa hii miaka minne..Mkuu tuombe iwe hivyo maana arsenal kashatoa gundu la kutokubeba EPL kwa mda wa miaka 22. Sisi imepita miaka 13 sasa tokea tubebe kipindi cha babu ferguson 2012/2013.
Msimu ulioisha hawakuwa wanatosha, walishafika kwenye kilele Cha ubora msjimu juzi wakaona nguvu ya washindani wao wakaamua kuongeza nguvu(Zubi, Eze, Merino, na hata Victor ili kuongeza magoli)
Bahati haikuwa upande wao, sajili hazijachanganya sana..
Wamechoka, ingawa wao ndio timu imetimia zaidi kwa sasa EPL.
Nina hisia chanya kama bodi itarudia ilichofanya msimu Jana, basi tutashindana..
Baada ya Manchester City kufikia kilele Cha ubora(2023), EPL imekuwa ikibebwa kwa ubovu wa washindani kulko ubora wa timu bingwa..
Msimu Jana kama Ruben angeamua kuwa Mtu anaebadilika kulingana na na nani nacheza nae, basi Kuna tumaini timu yetu ingesumbua na ingeukaribia sana ubingwa hata kama isingeupata..
Manchester City ya bila Pep
Liverpool inayojitafuta
Spurs iliyosinzia kabisa
Chelsea yenye mawimbi,
Manchester United Ina nafasi ya kushindana na Arsenal..
Ila tu bodi isituangushe