Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyumbu efusii nawasalimu kwa moyo mkunjufu bila nongwa yoyote.
Hamjamboni ndugu zangu😂
20260524_214712.jpg
 
Elewa neno OUR BOYS, OUR FORWARDS, OUR FRONTLINE ni dhahiri shahiri Robin Van Magori kawakataa kabisa Arsenal richa ya kutwaa Kombe siku si nyingi 😃😃 Man U Patamu Bwana.
View attachment 3595586View attachment 3595587
Yuko sahihi. Bruno ananikumbusha sisi enzi zetu tuna Fabregas halafu washambuliaji wetu ni kina Adebayor. Bonge la mido ila mastraika wa nafasi kumi goli moja.
 
Wadau hivi Carrick kapewa timu jumla sababu ya uwezo wake, mapenzi yake kwa timu, ulejendari wake, uingereza wake au kama asante kwa kutuvusha salama au kuokoa nyuso za akina Glazers?

Maana yanaweza kurejea ya akina Sosha na tusiwe tumejifunza kutokana na makosa
Kwa ninavyoona uongozi umeamua kucheza kamari ili kuondoa lawama kwa fanbase

aliyekuwa anatakiwa mjeruman neglesman amefanya pre contract in anything can happen
 
Wadau hivi Carrick kapewa timu jumla sababu ya uwezo wake, mapenzi yake kwa timu, ulejendari wake, uingereza wake au kama asante kwa kutuvusha salama au kuokoa nyuso za akina Glazers?

Maana yanaweza kurejea ya akina Sosha na tusiwe tumejifunza kutokana na makosa
Time will tell na hivi tunacheza hadi UEFA msimu ujao.
 
Wadau hivi Carrick kapewa timu jumla sababu ya uwezo wake, mapenzi yake kwa timu, ulejendari wake, uingereza wake au kama asante kwa kutuvusha salama au kuokoa nyuso za akina Glazers?

Maana yanaweza kurejea ya akina Sosha na tusiwe tumejifunza kutokana na makosa
Solksher hakuwa kocha mbaya kwa utd alifit vizuri tu kilichomponza ni kuwakumbatia wavivu kama Pogba, Rashford, Sancho na Martial alishindwa kusoma alama za nyakati hii ilileta mgawanyiko kwenye timu. Ni kocha mjinga tu ndio anaweza kumuweka Cavan bench akamuanzisha Martial. Hili kwa Carick sijaliona kosa atakalo lifanya ni kumrudisha Rashford.
 
Mkuu NtYga kawapige nacho arsenal maana wanamuona Saka kama second to MESSI hivi, Na vile wamebeba ndoo huwezi kubishana nao bila mabandiko kama haya ukawashinda
Hakuna kitu sipendi kama kubishana na mtu asiye na Facts kuna muda mpaka walimdhihaki Bruno Fernandes kwa kumlinganisha na Odegard ety Odegard Kiungo mchambuko, Lakini Game ya Juzi nilikuwa na Mwana Arsenal akakili kutoka moyoni kwamba "Kusema kweli hii Game ilimhitaji Bruno Fernandes"
 
Ila jamani amorin kuna kitu amekifanya, hata Carrick ameivusha timu kutokana na kuundo wa amorin.

Kwanza kuwaondoa wavivu na kuleta wapiganaji. Carrick anapaswa ajue anatembelea muundo wa amorin..kosa lake amorin kungangania mfumo mmoja
Ilikuwa hivyo Pia kwa Thomas Tuchel kuchukua Ligi Ya Mabingwa Ulaya kupitia Sajiri za Lampard.
 
Kuna sajiri hapa zilihitajika kabisa "ILIMAN NIAYE waje wapiganie nafasi na Matheus Cunha" Pia huyu "MALICK DIOF huyu Dogo kazi yake Jamani mnaijua Dogo anamwaga maji mpaka kero, hawa wote watue kwa ajiri ya squad depth.

sema kuna kitu huwa nakiona United wachezaji weusi huwa hawapewi attention kwenye usajiri ndio maana hata Deal ya Baleba wanazunguka zunguka tu ila angekuwa Mzungu mwenzao mapema tu wangekuwa washafanya mazungumzo naweza sema huwa kuna Racism iliyojificha.
Screenshot_20260601-221140.jpg
 
Back
Top Bottom