King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 2,066
- 5,278
NtYga vipi ederson wa atalanta.Hapa Toa Hayden Hackney tia CARLOS BALEBA Tunakuwa Tumefunga kurasa ya Midfield.
View attachment 3587293
NtYga vipi ederson wa atalanta.Hapa Toa Hayden Hackney tia CARLOS BALEBA Tunakuwa Tumefunga kurasa ya Midfield.
View attachment 3587293
Yuko sahihi. Bruno ananikumbusha sisi enzi zetu tuna Fabregas halafu washambuliaji wetu ni kina Adebayor. Bonge la mido ila mastraika wa nafasi kumi goli moja.Elewa neno OUR BOYS, OUR FORWARDS, OUR FRONTLINE ni dhahiri shahiri Robin Van Magori kawakataa kabisa Arsenal richa ya kutwaa Kombe siku si nyingi 😃😃 Man U Patamu Bwana.
View attachment 3595586View attachment 3595587
Kwa ninavyoona uongozi umeamua kucheza kamari ili kuondoa lawama kwa fanbaseWadau hivi Carrick kapewa timu jumla sababu ya uwezo wake, mapenzi yake kwa timu, ulejendari wake, uingereza wake au kama asante kwa kutuvusha salama au kuokoa nyuso za akina Glazers?
Maana yanaweza kurejea ya akina Sosha na tusiwe tumejifunza kutokana na makosa
Time will tell na hivi tunacheza hadi UEFA msimu ujao.Wadau hivi Carrick kapewa timu jumla sababu ya uwezo wake, mapenzi yake kwa timu, ulejendari wake, uingereza wake au kama asante kwa kutuvusha salama au kuokoa nyuso za akina Glazers?
Maana yanaweza kurejea ya akina Sosha na tusiwe tumejifunza kutokana na makosa
Solksher hakuwa kocha mbaya kwa utd alifit vizuri tu kilichomponza ni kuwakumbatia wavivu kama Pogba, Rashford, Sancho na Martial alishindwa kusoma alama za nyakati hii ilileta mgawanyiko kwenye timu. Ni kocha mjinga tu ndio anaweza kumuweka Cavan bench akamuanzisha Martial. Hili kwa Carick sijaliona kosa atakalo lifanya ni kumrudisha Rashford.Wadau hivi Carrick kapewa timu jumla sababu ya uwezo wake, mapenzi yake kwa timu, ulejendari wake, uingereza wake au kama asante kwa kutuvusha salama au kuokoa nyuso za akina Glazers?
Maana yanaweza kurejea ya akina Sosha na tusiwe tumejifunza kutokana na makosa