Le professel
JF-Expert Member
- May 14, 2019
- 679
- 1,035
Jau sanaHii mechi msipokazwa, cjui 😂
Jau sanaHii mechi msipokazwa, cjui 😂
Hii mechi msipokazwa, cjui 😂
Team iko too dependent kwa kasemiro, akikosekana ni chaos, watafute replacement else uefa itakuwa ni aibuHii tumu bado inahitaji kusukwa na kuongeza wachezaji. Na hilo ni pengo la Casemiro, msimu ujao kazi tunayo.
Mkuu NtYga umepotea sana.Hapa Toa Hayden Hackney tia CARLOS BALEBA Tunakuwa Tumefunga kurasa ya Midfield.
View attachment 3587293
Au sioKama aseno tu
Mbeumo akupe ligi, hivi mnajielewa kweli nyumbu?United itabeba ubingwa wa epl kabla ya aseno
Juu Wapi??Bado naiona nafasi pale juu
Wanadhani kunyanyua kikombe ni sawa na kunyanyua mbupu wakinyoa uvuziMbeumo akupe ligi, hivi mnajielewa kweli nyumbu?View attachment 3591615