Mkuu nimerudi mtqndaoni....nasikia unanisaka...vp kwema???....Arsenal bingwa msimu huu🤠🤠...ligi na UEFA zte tunabebaChelkenge leo mmeingia mkenge mkaishia kukalia k3nde.
Mkuu nimerudi mtqndaoni....nasikia unanisaka...vp kwema???....Arsenal bingwa msimu huu🤠🤠...ligi na UEFA zte tunabeba
Sisi ligi tulishamaliza tumekuachia wew na city tuYaani hamjiamini hadi mmekimbia na mnaongoza
Vipi bado unaiona nafasi pale juu ?🤣Sisi ligi tulishamaliza tumekuachia wew na city tu
Hilo linajulikana. HongereniSisi ligi tulishamaliza tumekuachia wew na city tu
United itabeba ubingwa kabla ya asenoVipi bado unaiona nafasi pale juu ?🤣
Nipo PSG kwa mkopo.