Hata msipotaka, lazima tuwakaze.


Chelkenge leo mmeingia mkenge mkaishia kukalia k3nde.Naiona nafasi pale juuChelkenge leo mmeingia mkenge mkaishia kukalia k3nde.
Naiona nafasi pale juu


Kabisaaa aiseee😅😅😅😅😅😅😅Naiona nafasi pale juu
🤣🤣🤣🤣Hata msipotaka, lazima tuwakaze.
Bwashee, usinitoneshe kidonda 😂🤣🤣🤣🤣
Tunapiga kwenye mshono bwashee 😅Bwashee, usinitoneshe kidonda 😂
Ila top 5 lazima tuwepo 👌Tunapiga kwenye mshono bwashee 😅
Hivi una jua yule kilaza wa kireno asingepewa timu , hawa goigoi asenane tungewashusha pale juu mda sana🤣🤣Ila top 5 lazima tuwepo 👌
Mngemshusha Ila sio Nyie kukaa pale juu 😂Hivi una jua yule kilaza wa kireno asingepewa timu , hawa goigoi asenane tungewashusha pale juu mda sana🤣🤣
Tumepiga kenge zote zinazojiita wakubwa bwashee 🤣Mngemshusha Ila sio Nyie kukaa pale juu 😂
Ila bado mtaendelea kuiona nafasi pale juu ila hamtoigusa 😂Tumepiga kenge zote zinazojiita wakubwa bwashee 🤣
Bwashee , sio malengo yetu hayo , hata hayo ya kuwa wa tatu yamejitokeza tu kwa dharura , tunasuka kikosi kwanza😅Ila bado mtaendelea kuiona nafasi pale juu ila hamtoigusa 😂
Hata chelkenge tunasuka kikosi 😎Bwashee , sio malengo yetu hayo , hata hayo ya kuwa wa tatu yamejitokeza tu kwa dharura , tunasuka kikosi kwanza😅
Nyie kila msimu mnakusanya genge la wanywa mbege mnaita kikosi😅Hata chelkenge tunasuka kikosi 😎