Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hizi tabia huwezi waambia wanaume wenzako inaonesha una matatizo ya kisaikolojia. Utani wa kudhalilisha wanaume wenzio namna haufai kwakwel mpira ni fair na ushabiki unatakiwa uwe fair.
Vipi bosi mbona makasiriko? Hizo ni banters tu za hapa na pale
 
Mnakaribishwa leo kushuhudia burudani ya soka safi na mabao ya kideo
20240513_205921.jpg
 
Hawa watoto leo ni kama wameamka na bahati

Haiwezekani mashuti zaidi ya matatu yanakuwa blocked
 
Hii timu baada ya mechi ya jana watacheza tena mwezi wa nne
 
Ila wazee kimahesabu mnaweza kuwa mabingwa endapo arsenal na man city wakifungwa mechi zote zilizobaki na nyie mshinde zote. Ni simple tu Yani😅😅
 
Carrick nae ajifunze kutengeneza sub.
Dakika 90 sio first eleven tu, na sub ni muhimu kweny kuleta matokeo

Top four tunayo msimu huu.
Hope project ya kuchukua EPL 2028 itatulipa.
Dalot shaw ni takataka.
 
Back
Top Bottom