mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,662
- 19,451
🤣🤣🤣 Stress za Cheusiiii naona umeamua uje uzipunguzie humu.Goooooooooooooooooooooooal.!
Mbeumooooooo
arsenal sijawahi kuiona kama timu ya amaana ni taka taka.Arsenal player blocking the Goalkeeper🚮
Football is ruined.View attachment 3561479
Mmesha gawa utamuHuyu kocha mbona na yeye anaanza kuwa mjinga kama Amorin. Yaani Maguire hayupo halafu unawaweka Dalot, Mainoo na Mbeumo nje. Hizi timu ndogo sio za kufanyia majaribio.
Pengo la Maguire litatu-cost sana. Sikumbuki ni lini mara ya mwisho tulishinda mechi bila Maguire.