King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 2,066
- 5,278
Hiki ndicho nilichotaka kusema.Halafu mnaleta caretaker wale wale 😂 narudia timu hii HAITOKAA ipate mafanikio Hadi timu ipewe wamiliki wengine (waarabu) wabadilishe kila kitu kuanzia kule juu kulikooza zaidi Hadi huku chini.

