Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mimi nmeshaongea na ntasema tena Manchester united HAITOKAA ifanikiwe Hadi waondoe kirusi cha uingereza uingereza ..hawaoni wenzao man city?
 
Kocha amefukuzwa sababu ya kusema ukweli namna mbovu inayotumika yeye kushirikishwa masuala ya timu

Bora alivyofukuzwa, kocha mbinu zake mbovu, kila mechi unacheza mabeki 6 mpaka 7 uwanjani, yaani acheze na mkubwa au mdogo yeye anajaza mabeki tu uwanjani, timu inakosa balance, mbele mpira haukai

Mechi ya everton wana red card, badala aingize washambuliaji, yeye akaingiza mabeki mwishowe tukafungwa na watu 10

Wew dorgu yule ni wakucheza 7 au 11, kushambulia hawezi, kukaba hawezi, kupiga chenga hawezi, kupiga cross nzuri hawezi, kutoa pass nzuri hawezi, mwishoe Cunha na Sesco wanakosa msaada
 
Wee unaona wanachokifanya hawa wamiliki ni sawa au?

Maboss wana madhaifu yao ila madhaifu ya ruben ni makubwa sana, tena wamechelewa kumfukuza, kocha gan anajaza mabeki 6 uwanjani na hatupati hata clean sheet, amad anapaswa awe karibu na goli ila yeye anamchezesha wingback
Semenyo alivyotukataa ni Sawa tu, maana angechezeshwa wingback

Shida ilianza baada ya mkurugenzi wa michezo Wilcox kamwambia ruben mfumo wako unatesa wachezaji wanashindwa ku’copy, adapt mfumo utakapelekea kupata ubora wa wachezaji, rafik ako kaona anaingiliwa ktk majukumu yake, baada ya game na Leeds ndio katoa mapovu yake pale, am heared to be a manager, not a coach
 
Ole na Carrick ni watu sahihi kuwapa timu hadi mwisho wa msimu ili kurudisha furaha Utd. Wana dna ya club wanatumia philosophy ya club. Baada ya msimu board ipime ubora wao na walikoifikisha timu waone kama wanaweza kuwapa permanent contract
 
Ole na Carrick ni watu sahihi kuwapa timu hadi mwisho wa msimu ili kurudisha furaha Utd. Wana dna ya club wanatumia philosophy ya club. Baada ya msimu board ipime ubora wao na walikoifikisha timu waone kama wanaweza kuwapa permanent contract
Hapaana, ni bora fletcher
 
Kocha amefukuzwa sababu ya kusema ukweli namna mbovu inayotumika yeye kushirikishwa masuala ya timu
Wakimshirikisha atashinda au ndio kipigo kitakuwa palepale😂😂😂😂
Asisumbue matajiri
Haya, akatafute kibarua kwingine.
 
Halafu mnaleta caretaker wale wale 😂 narudia timu hii HAITOKAA ipate mafanikio Hadi timu ipewe wamiliki wengine (waarabu) wabadilishe kila kitu kuanzia kule juu kulikooza zaidi Hadi huku chini.
 
Ole na Carrick ni watu sahihi kuwapa timu hadi mwisho wa msimu ili kurudisha furaha Utd. Wana dna ya club wanatumia philosophy ya club. Baada ya msimu board ipime ubora wao na walikoifikisha timu waone kama wanaweza kuwapa permanent contract
Mashabiki wa Man united tunachekesha sana kwamba ole,Carrick na fletcher ndio wanaijua DNA na philosophy ya club kwamba kwa kurudi kwao tutapata furaha iliyopotea. Sawa time will tell.
 
Halafu mnaleta caretaker wale wale 😂 narudia timu hii HAITOKAA ipate mafanikio Hadi timu ipewe wamiliki wengine (waarabu) wabadilishe kila kitu kuanzia kule juu kulikooza zaidi Hadi huku chini.
Hiki ndicho nilichotaka kusema.
 
Na mmechelewa, ticha la bolu limeshachukuliwa huko. Cjui mtampata nani?
Screenshot_20260107_203856_X.jpg
 
Back
Top Bottom