King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,980
- 4,942
Pole😁😁😁 amani na career ya refa ni muhimu kuliko haki😁😁😁Refa mjinga sana yule Baba
Pole😁😁😁 amani na career ya refa ni muhimu kuliko haki😁😁😁Refa mjinga sana yule Baba
Yaani mashindano tuandae sisi bado tukupitishe as best looser huku tukijua hua unatupa utamu kwenye game zote tulizokutana hivi karibuni. Alafu unajifanya kutukazia.Nani alitoa hiyo hela? Kama ni Morroco walikua na sababu gani ya kutoa hela?
View attachment 3526291
Kocha amefukuzwa sababu ya kusema ukweli namna mbovu inayotumika yeye kushirikishwa masuala ya timu
Hujui ballKocha amefukuzwa sababu ya kusema ukweli namna mbovu inayotumika yeye kushirikishwa masuala ya timu
Wee unaona wanachokifanya hawa wamiliki ni sawa au?
Hapaana, ni bora fletcherOle na Carrick ni watu sahihi kuwapa timu hadi mwisho wa msimu ili kurudisha furaha Utd. Wana dna ya club wanatumia philosophy ya club. Baada ya msimu board ipime ubora wao na walikoifikisha timu waone kama wanaweza kuwapa permanent contract
Wakimshirikisha atashinda au ndio kipigo kitakuwa palepale😂😂😂😂Kocha amefukuzwa sababu ya kusema ukweli namna mbovu inayotumika yeye kushirikishwa masuala ya timu
Tayari walishafanya nao mawasiliano kuna uwezekano wakaungana na Fletcher head coach akiwa OleHapaana, ni bora fletcher
Wewe mwenye akili wa chagadema una shares ama umiliki wa timu pale Carrington pamoja na mabilionea ?!Hujui ball
Lumumba hamnag akili
Mashabiki wa Man united tunachekesha sana kwamba ole,Carrick na fletcher ndio wanaijua DNA na philosophy ya club kwamba kwa kurudi kwao tutapata furaha iliyopotea. Sawa time will tell.Ole na Carrick ni watu sahihi kuwapa timu hadi mwisho wa msimu ili kurudisha furaha Utd. Wana dna ya club wanatumia philosophy ya club. Baada ya msimu board ipime ubora wao na walikoifikisha timu waone kama wanaweza kuwapa permanent contract
Hiki ndicho nilichotaka kusema.Halafu mnaleta caretaker wale wale 😂 narudia timu hii HAITOKAA ipate mafanikio Hadi timu ipewe wamiliki wengine (waarabu) wabadilishe kila kitu kuanzia kule juu kulikooza zaidi Hadi huku chini.
Nani anataka tapeli kama huyu ?Na mmechelewa, ticha la bolu limeshachukuliwa huko. Cjui mtampata nani?
View attachment 3526730
Hiki ndicho nilichotaka kusema.