King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 2,093
- 5,317
Kama huyu binti Saint Anne hua ana roho nyepesi sana mfano ni kwenye game ya Tanzania na Morrocco. Alikua anafuraha huyu binti. Naolishindwa kuusoma na kuelewa mchezo mapema tokea mwanzo kuwa ilishapangwa Tz atoke na refa kaisha pewa mtonyo.Wana matatizo sana