Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

makocha wengi hawapendi kuingiliwa majukumu yao ,wanapenda wao nd waamue karibu kila kitu kinachohusu wachezaji.. nadhani hi ya kuweka vitengo vingi kwenye muundo wa kiuongozi wa timu kwa kiasi fulani inaminya authority's decisions za makocha.. na wengi wao huwa hawakubali.
 
Kwa majeruhi tulionao sasa binafsi Naona kocha alijitahidi sana. Sijui huyu care taker kama ataweza. Mfano mechi ya juzi Sesko Anamosa Masoli ya wazi sasa hap kochi afanyaje?
 
Mwamba aingilie katii
1000265871.jpg
 
Aisee nadhani huyu kocha hajafanyiwa fair ..nimesikitika sana kuondoka kwake moja ya makocha bora sana waliondoka kwa namna ya ajabu
Kwa kikosi alichokua nacho wamemuonea haswaa, kuna mchezaji anaitwa Yoro dah! nikimuangaliaga huwa acheka, kalegea kama anashindia biskuti, eti ndio utegemee amzuie halland, kweli?? Kuna chezaji jingine linaonekana vuta bangi kbs Dorgu sijui.
 
Kwa kikosi alichokua nacho wamemuonea haswaa, kuna mchezaji anaitwa Yoro dah! nikimuangaliaga huwa acheka, kalegea kama anashindia biskuti, eti ndio utegemee amzuie halland, kweli?? Kuna chezaji jingine linaonekana vuta bangi kbs Dorgu sijui.
Aliletwa na nani?
 
Kama huyu binti Saint Anne hua ana roho nyepesi sana mfano ni kwenye game ya Tanzania na Morrocco. Alikua anafuraha huyu binti. Naolishindwa kuusoma na kuelewa mchezo mapema tokea mwanzo kuwa ilishapangwa Tz atoke na refa kaisha pewa mtonyo.
Nani alitoa hiyo hela? Kama ni Morroco walikua na sababu gani ya kutoa hela?
grok_1767712035287.jpg
 
Kama huyu binti Saint Anne hua ana roho nyepesi sana mfano ni kwenye game ya Tanzania na Morrocco. Alikua anafuraha huyu binti. Naolishindwa kuusoma na kuelewa mchezo mapema tokea mwanzo kuwa ilishapangwa Tz atoke na refa kaisha pewa mtonyo.
Refa mjinga sana yule Baba
 
Back
Top Bottom