mkale
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 1,737
- 1,987
makocha wengi hawapendi kuingiliwa majukumu yao ,wanapenda wao nd waamue karibu kila kitu kinachohusu wachezaji.. nadhani hi ya kuweka vitengo vingi kwenye muundo wa kiuongozi wa timu kwa kiasi fulani inaminya authority's decisions za makocha.. na wengi wao huwa hawakubali.