Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Halafu mnaleta caretaker wale wale 😂 narudia timu hii HAITOKAA ipate mafanikio Hadi timu ipewe wamiliki wengine (waarabu) wabadilishe kila kitu kuanzia kule juu kulikooza zaidi Hadi huku chini.
Hawa caretakers wanaorudi wali excel sana pindi walipokua na timu acha walewe kwa mara nyingine on urgency basis
 
Tumeshatombwa kimoja...burney anaenda kusafisha dudu anarudi tena raundi ya pili ...endeleeni kuwakumbatia waingereza
 
1765882231334.jpg
 
Hivi wamiliki wa Manchester United wana akili kweli? Wamemfukuza Ruben kwa sababu ipi? Aisee mie na hii club ndio basi sasa.
Nikikuwaga nasikia Wamiliki wa Man U wanamatatizo ya akili na nilibisha Sana ila kwa Amorim wame prove kuwa wao ni TakaTaka 🤦‍♂️.

Acha wachakazwe mpaka akili ziwasogee wajawa Tamaa hawa.
 
Nyumbu leo ndio mnaaga mashindano ya FA. Asanteni kwa kushiriki
 
Pamoja na kupangiwa kikosi cha kizenge bado mmepigwa? Nyinyi ni takataka
 
Back
Top Bottom