Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila Reuben mwoga Sana sidhan km ataiweza Manchester United

kwa akili ya kawaida tu unacheza mabeki wa tano ili iweje ?

kocha ana zngua mno
Unaijua EPL!??
Mechi Ile uliangalia sub players wametoka academy, Bado first eleven ilikuw na wachezaji ambao sio chaguo la kwanza Wala la pili.
Pia EPL hakuna mechi ndogo, Sunderland tumemfunga lkn wakubwa wote wameshindwa kumfunga.
Huwez define mambo kirahisi bila kujua mazingira yaliyochangia.

Leo Bado tutakuwa na mechi ngumu, kumbuka X1 hatuna Bruno, Maguire, maino, dialo, mbeumo, mazraoui, de light.
It's tough
Kocha Amorin ni mtu sahihi sababu anatengeneza kutoka chini kwenda juu japo ameanzia chini sana ili aweke msingi Bora wa mafanikio.

Kila siku Huwa naiombea project yetu ya EPL 2028 na ndio unanipa trust, na uelekeo nauona
 
Timu ina mchezaji anaitwa Kukonki halafu mnalalamika kocha wenu kuanzisha mabeki saba kumbe hata kikosi hana. Nyi mabwege kweli.
Screenshot_20260104-144545.png
 
Dakika 45 za kipindi za kwanza mmecheza utumbo. Tuangalie kipindi cha pili
 
Maressa pamoja na mafanikio yake ndani ya miezi 18 pale Chelsea na amefukuzwa, Ila kuna vitimu makocha wao n wanasesere ila bado wapo tuu 😂
Maressa akifika man U na arsenal anaweza kuwa kocha wa maisha 😂
 
Viazi vikamdanganya dirisha la January watasajili. January inafika yakamkimbia
 
Back
Top Bottom