Scott junior
JF-Expert Member
- Mar 24, 2022
- 2,435
- 3,262
Bado naiona nafasi pale juuTunawasubiri hapaView attachment 3521367
Hapa game ngumu kwa man u ni hiyo ya arsenal na mancity hivyo Ruben na wachezaji wake wakitulia vizuri wanachukua point 20.Tunawasubiri hapaView attachment 3521367
Arsenal inafaa tumfungeHapa game ngumu kwa man u ni hiyo ya arsenal na mancity hivyo Ruben na wachezaji wake wakitulia vizuri wanachukua point 20.
Arsenal wanaratiba ngumu sana hivyo tukimfunga itapendeza.Arsenal inafaa tumfunge
Kila lakheri mazeeHapa game ngumu kwa man u ni hiyo ya arsenal na mancity hivyo Ruben na wachezaji wake wakitulia vizuri wanachukua point 20.
Bado naiona nafasi pale juu wakuu
Bado naiona nafasi pale juu wakuu
Unaijua EPL!??Ila Reuben mwoga Sana sidhan km ataiweza Manchester United
kwa akili ya kawaida tu unacheza mabeki wa tano ili iweje ?
kocha ana zngua mno