Bagabeach
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 1,355
- 2,792
Unaijua EPL!??Ila Reuben mwoga Sana sidhan km ataiweza Manchester United
kwa akili ya kawaida tu unacheza mabeki wa tano ili iweje ?
kocha ana zngua mno
Mechi Ile uliangalia sub players wametoka academy, Bado first eleven ilikuw na wachezaji ambao sio chaguo la kwanza Wala la pili.
Pia EPL hakuna mechi ndogo, Sunderland tumemfunga lkn wakubwa wote wameshindwa kumfunga.
Huwez define mambo kirahisi bila kujua mazingira yaliyochangia.
Leo Bado tutakuwa na mechi ngumu, kumbuka X1 hatuna Bruno, Maguire, maino, dialo, mbeumo, mazraoui, de light.
It's tough
Kocha Amorin ni mtu sahihi sababu anatengeneza kutoka chini kwenda juu japo ameanzia chini sana ili aweke msingi Bora wa mafanikio.
Kila siku Huwa naiombea project yetu ya EPL 2028 na ndio unanipa trust, na uelekeo nauona