Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bado naiona nafasi pale juu wakuu
Next game mpo na burnley
Screenshot_20260104_173339_FotMob.jpg
 
Maressa pamoja na mafanikio yake ndani ya miezi 18 pale Chelsea na amefukuzwa, Ila kuna vitimu makocha wao n wanasesere ila bado wapo tuu 😂
Maressa akifika man U na arsenal anaweza kuwa kocha wa maisha 😂
 
Viazi vikamdanganya dirisha la January watasajili. January inafika yakamkimbia
 
Back
Top Bottom