Kahama- shy
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 1,971
- 2,740
Hawa Leeds ni hatari kama wolves walitoka draw je hapa itakuwaje ameyazoa
Next game mpo na burnleyBado naiona nafasi pale juu wakuu
Funga hayo macho mkuu, man U watakufanya uwe kipofu sasa, kila muda unaangalia juu tuu ila wenzako wako chini 😂Bado naiona nafasi pale juu wakuu
Bado naiona nafasi pale juuNext game mpo na burnleyView attachment 3525197
Watoto wanamuendesha wakubwa wanampa kipondo sijui atakuwa mgeni wa nani😁🤣Next game mpo na burnleyView attachment 3525197
Amorim alimwaga mboga mwenyewe, kawabwatukia viongozi wa club kwenye press conference. Alitaka kuwa manager badala ya head coach.Hivi wamiliki wa Manchester United wana akili kweli? Wamemfukuza Ruben kwa sababu ipi? Aisee mie na hii club ndio basi sasa.
You mean kwenye press conference ya jana after draw with Leeds United.Amorim alimwaga mboga mwenyewe, kawabwatukia viongozi wa club kwenye press conference. Alitaka kuwa manager badala ya head coach.
Kocha yoyote atakeye jichanganya kuja kuifundisha Manchester United. Basi akae akijua yeye ni dead man walking.
Wee unaona wanachokifanya hawa wamiliki ni sawa au?Yeyote una uhakika? Yaani hata Pep au Klop??
Hawajielewi kabisaWee unaona wanachokifanya hawa wamiliki ni sawa au?