Ila wewe si unaizungumzia team yako tudeal hapoVipi game ulizofungwa na timu nyingne na wao wanabahati au ?😂😂
Ila wewe si unaizungumzia team yako tudeal hapoVipi game ulizofungwa na timu nyingne na wao wanabahati au ?😂😂
Tokea ameacha kutabiri mmekua wamoto.🤣🤣🤣 tulikua tunamlaumu Amoxilin bure, kumbe aliekua anatupiga pini ni ndugu yetu wenyewe Alipipi.
Ziache hizi nyumbu usiziamshe usingizini, hazijui mechi ya pili kukiwa hamna red card, tutapga kama mbwa mwizi.Tutakutana mechi ya pili ujue ulibebwa na bahati
edZiache hizi nyumbu usiziamshe usingizini, hazijui mechi ya pili kukiwa hamna red card, tutapga kama mbwa mwizi.
Yaani mechi hii na liva mungu alikua upande wa Nyumbuzi, walikua wale chuma nne sema mwamba umewasaidia sana. Ila vimdomo vyao sasa!!
Ila wewe si unaizungumzia team yako tudeal hapo
Ila wewe si unaizungumzia team yako tudeal hapo😂😂
🤣🤣🤣 Ila ndugu yetu Alipipi mtafutie zawadi nyingine maana pipi yeye hatumii.Nagawa pipi kifua kwa kila shabiki wa Manjesta kwa kumpaka pilipili kuku kishingo
Ile mechi mlitupiga sana msako🤣🤣🤣 Ila ndugu yetu Alipipi mtafutie zawadi nyingine maana pipi yeye hatumii.
Mpaka leo bado nawaza ile mechi ya kwanza Arsenyau alitufungaje?
Kuna kila dalili zinaonyesha walitumia ndumba, maana sio kwa ule mpira mkubwa tuliopiga siku ile halafu wakaishia kutufunga kwa goli la papatu papatu.
Manjesta ni wabovu wakiwa huchez nao, na wakicheza na vidagaa🤣🤣🤣 Ila ndugu yetu Alipipi mtafutie zawadi nyingine maana pipi yeye hatumii.
Mpaka leo bado nawaza ile mechi ya kwanza Arsenyau alitufungaje?
Kuna kila dalili zinaonyesha walitumia ushirikina maana sio kwa ule mpira mkubwa tuliopiga siku ile halafu wakaishia kutufunga kwa goli la papatu papatu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣 tulikua tunamlaumu Amoxilin bure, kumbe aliekua anatupiga pini ni ndugu yetu wenyewe Alipipi.
Mimi kama mchambuzi nguli mwenye talent ID kubwa ,Eneo la goalkeeper tayari ni kama tumepata afadhali.
Kocha apate LWB na RWB hao kina dorgu Bado hawawezi kumpa anachokitaka kweny mfumo wake.
Kiungo tuboreshe msimu ujao tusimtegemee casemiro Wala Bruno, maino kocha amtafutie nafasi.
Tusajili na winger Moja.
Msimu huu tunaweza kumaliza top four Kwa sababu kikosi na kocha wote Wana growth and improvement rate pia tutasajili kiungo na LWB dirisha dogo la January.
Leo ni furaha, lakini nmegundua mfumo wetu Kwa msimu huu ambao Bado hatupo imara Bora tuwe tunacheza kama second team, mpizani tumuue Kwa quick counter attack na long balls
Hofu yangu kwa United ni dhidi ya hivi vitimu vinavyochipukia na havina cha kupoteza, Ngoja tuone nini Amorin atatupatia wiki endi hii dhid ya BHA.Rudini nyumbani kumeanza kunoga
Wale Liverpool wametuamsha usingizini tuanze harakati za top four sasa