Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tutakutana mechi ya pili ujue ulibebwa na bahati
Ziache hizi nyumbu usiziamshe usingizini, hazijui mechi ya pili kukiwa hamna red card, tutapga kama mbwa mwizi.

Yaani mechi hii na liva mungu alikua upande wa Nyumbuzi, walikua wale chuma nne sema mwamba umewasaidia sana. Ila vimdomo vyao sasa!!
 
Planned thats why haikutokea.
Ziache hizi nyumbu usiziamshe usingizini, hazijui mechi ya pili kukiwa hamna red card, tutapga kama mbwa mwizi.

Yaani mechi hii na liva mungu alikua upande wa Nyumbuzi, walikua wale chuma nne sema mwamba umewasaidia sana. Ila vimdomo vyao sasa!!
ed
 
Nagawa pipi kifua kwa kila shabiki wa Manjesta kwa kumpaka pilipili kuku kishingo
🤣🤣🤣 Ila ndugu yetu Alipipi mtafutie zawadi nyingine maana pipi yeye hatumii.
Mpaka leo bado nawaza ile mechi ya kwanza Arsenyau alitufungaje?
Kuna kila dalili zinaonyesha walitumia ndumba, maana sio kwa ule mpira mkubwa tuliopiga siku ile halafu wakaishia kutufunga kwa goli la papatu papatu.
 
🤣🤣🤣 Ila ndugu yetu Alipipi mtafutie zawadi nyingine maana pipi yeye hatumii.
Mpaka leo bado nawaza ile mechi ya kwanza Arsenyau alitufungaje?
Kuna kila dalili zinaonyesha walitumia ndumba, maana sio kwa ule mpira mkubwa tuliopiga siku ile halafu wakaishia kutufunga kwa goli la papatu papatu.
Ile mechi mlitupiga sana msako
 
🤣🤣🤣 Ila ndugu yetu Alipipi mtafutie zawadi nyingine maana pipi yeye hatumii.
Mpaka leo bado nawaza ile mechi ya kwanza Arsenyau alitufungaje?
Kuna kila dalili zinaonyesha walitumia ushirikina maana sio kwa ule mpira mkubwa tuliopiga siku ile halafu wakaishia kutufunga kwa goli la papatu papatu.
Manjesta ni wabovu wakiwa huchez nao, na wakicheza na vidagaa
 
🤣🤣🤣 tulikua tunamlaumu Amoxilin bure, kumbe aliekua anatupiga pini ni ndugu yetu wenyewe Alipipi.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂

ila wewe jamaa hapana kwakweli 🙌🙌

Alipipi yupo wapi ?
 
Eneo la goalkeeper tayari ni kama tumepata afadhali.

Kocha apate LWB na RWB hao kina dorgu Bado hawawezi kumpa anachokitaka kweny mfumo wake.

Kiungo tuboreshe msimu ujao tusimtegemee casemiro Wala Bruno, maino kocha amtafutie nafasi.
Tusajili na winger Moja.

Msimu huu tunaweza kumaliza top four Kwa sababu kikosi na kocha wote Wana growth and improvement rate pia tutasajili kiungo na LWB dirisha dogo la January.

Leo ni furaha, lakini nmegundua mfumo wetu Kwa msimu huu ambao Bado hatupo imara Bora tuwe tunacheza kama second team, mpizani tumuue Kwa quick counter attack na long balls
Mimi kama mchambuzi nguli mwenye talent ID kubwa ,

GK mmepata ,Tena ana uwezo mzuri

Reflex 🔥
Shot stopping 🔥
Cross claim 🔥
Long balls 🔥
Short pass 🔥
 
Rudini nyumbani kumeanza kunoga

Wale Liverpool wametuamsha usingizini tuanze harakati za top four sasa
Hofu yangu kwa United ni dhidi ya hivi vitimu vinavyochipukia na havina cha kupoteza, Ngoja tuone nini Amorin atatupatia wiki endi hii dhid ya BHA.
 
Hii ndio utd ninayo ifahamu sasa workrate ya wachezaji ipo juu mno leo naona Brighton kila wakigusa mpira wanaweweseka maana wachezaji wa utd wanafika kwelikweli.

Tulifikia pabaya sana yaani utd ni yakutunishiwa msuli na Sancho, Rashford na Garnacho kweli? Naamini sasa walipo wanajuta kucheza na brand ya utd.
 
Back
Top Bottom