Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wale waliotoa ratiba humu jamaa kawaziba midomo kashinda game tatu kafungwa 2
 

Attachments

  • Screenshot_20251020_085204_FotMob.jpg
    Screenshot_20251020_085204_FotMob.jpg
    40.5 KB · Views: 25
Next
 

Attachments

  • Screenshot_20251020_085655_FotMob.jpg
    Screenshot_20251020_085655_FotMob.jpg
    49 KB · Views: 19
Nyie akili zenu ndogo sana ndio maana mkaitwa manyumbu nyingi hamtakiwi kabisa kuwaza big 4 hamna team ya kushika big 4;msidanyike na team kubwa mnazizifunga ni kwasababu mnakamia na mnaingia Kama underdo, team zinazowatoa jasho ni hizi za middle team na zinazoshuka daraja
Unajua kwanini mnaitwa ng;ombe fc?
 
Back
Top Bottom