Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,294
Sesko nje
Leo mumemuotea mvimba macho ukooTimu ni mbovu kwa sasa na hata suruhu ya hilo tatizo haijulikani.
Tushabadili Makocha, wachezaji mpaka benchi la ufundi na uongozi kwa ujumla, lakini ngoma ngumu.
Kwakua sina uvumilivu ndio maana siangalii mezi za timu yangu.
Ila mimi ni United mwanzo mwisho.
Wew hukumuotea?Leo mumemuotea mvimba macho ukoo
Sisi tutimulamba na mupira tuliupigaWew hukumuotea?