Utafanya nini.Sawa.
Tukutane tarehe 19.
Kweli kuwashika akili nyie ni rahisi sana.Utafanya nini.
Kocha la project amorin.
Na tuna project ya kuchukua EPL 2028.
hatuwezi kuwa na project afu tuwe na kiherehere Cha kufukuza makocha.
United tunatafuta midfield wazuri, na beki nzuri. Dirisha dogo na kubwa tutakuwa tushajaza hizi nafasi.
Na Bado tuna nafasi ya kumaliza top four.
Binafsi Kwa wakati huu hatubahatishi kucheza ni tunapanga kucheza
Nani aliyesema ni nzima?Mnajisahau sana.
Timu bovu hilo.
Sisi tupo zama zote na sio zile glory days tuIkiwa vizuri nitarudi kuishangilia, ila kwa sasa ni upuuzi tu.
Sawa, ila me moyongo ni plastic.Sisi tupo zama zote na sio zile glory days tu
Glory days are coming mkuu. Usiwe kama masingeli wa arsenal.Sawa, ila me moyongo ni plastic.
Kuvumilia ujinga siwezi
Naingoja kwa ham.Glory days are coming mkuu. Usiwe kama masingeli wa arsenal.
Naingoja kwa ham.
Maana tangu Manchester United iwe mbovu nashindwa kufatilia mpira kwa ujumla.
Hata UCL miaka ya siku hizi siifatilii.
Naomba sana chama langu lirudi kwenye ubora, lakini sioni matumaini.
Endeleeni kutuwakilisha makamanda, sie wengine tuna myoyo ya plastic.Kwa sababu kama zako, jukwaa limewapoteza malejendari wengi sana, wengine hadi ID wamebadilisha kabisa
Mchizi boti unakimbia wewe siyo shabiki la red devil tena😂😂😂😂Ikiwa vizuri nitarudi kuishangilia, ila kwa sasa ni upuuzi tu.
Mchizi boti unayumba, mwanaume akimbii majukumu, kuwa shabiki la manyumbu ni jukumu lako hivyo usikimbie,, hahaha hili timu ndio ulilipenda hivyo kifa naloo haha mchizz botiiiiiiEndeleeni kutuwakilisha makamanda, sie wengine tuna myoyo ya plastic.
Chama likirudi kwenye ubora, tutakua wote.
Timu ni mbovu kwa sasa na hata suruhu ya hilo tatizo haijulikani.Mchizi boti unayumba, mwanaume akimbii majukumu, kuwa shabiki la manyumbu ni jukumu lako hivyo usikimbie,, hahaha hili timu ndio ulilipenda hivyo kifa naloo haha mchizz botiiiiii