christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,150
- 5,065
Niliwahi sema humu utd hatukuwahi kuwa na tatizo kubwa la kiungo wala beki, tatizo letu kubwa lilikuwa na goli kipa na wachezaji wavivu wavivu hasa washambuliaji na hawakuwa timu player kama Hamad, kwa sasa tunao wazee wa kazi kule mbele shughuli tunaiona.