Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dirisha dogo tusajili LWB na kiungo mmoja Baleba Carlos
Top four tutaweza kuipambania.
Amorin ni kocha wa project, hivyo matumaini yangu ni atakuwa anaboresha timu siku Hadi siku mpaka tuchukue EPL 2028
 
Tusogee mdogo mdogo, tukomae na mechi zetu...Before dakika za sabini pale mbele palikuwa pa Moto kweli kweli, Mbeumo, Cunha tuombe wasiumie waepushiwe na majeraha, inabidi tuzidi kupata momentum...hawa wawili hata wakiwa na game mbaya ni tofauti na wale walioondoka...

Jamaa walikuwa wanakuja kwenye zile DK za jioni Hadi unaogopa.
 
Tusogee mdogo mdogo, tukomae na mechi zetu...Before dakika za sabini pale mbele palikuwa pa Moto kweli kweli, Mbeumo, Cunha tuombe wasiumie waepushiwe na majeraha, inabidi tuzidi kupata momentum...hawa wawili hata wakiwa na game mbaya ni tofauti na wale walioondoka...

Jamaa walikuwa wanakuja kwenye zile DK za jioni Hadi unaogopa.
Ndio ujue kule benchi hatuna sub za maana inabidi usajili ufanyike tena
 
1760518980337.jpg
 
Mkishinda kelele ni nyingi mno, mpigwe sasa 😂 mazuri ya makocha na wachezaji yanafutika ghafla
 
Twende na Nani jamani Kati ya hawa viungo.

Angelo Stiller-Frankfurt
Elliot Anderson- N.Forest
Baleba-Brighton
Wharton-Palace

Kati ya hawa wanne kuna mmoja au wawili tunaweza kuwapata kama mambo yakikaa sawa.
 
Wakuu ndo tunaamka,,yaan hii timu itatuua na hizi raha jamani.!
Hiyo timu imeanza kuonesha viashiri vyote kuwa itarudi yule omary Kuna kitu anakipanda united taratibu taratibu mwanzo wakati tajili anatoa speech zake nilikua namchukulia poa sana ila yule mzee ana vision sana na Moja kati ya speech zake Bora zaidi ni Ile wakati wanazindua project ya uwanja mpya wa old Trafford
 
Hiyo timu imeanza kuonesha viashiri vyote kuwa itarudi yule omary Kuna kitu anakipanda united taratibu taratibu mwanzo wakati tajili anatoa speech zake nilikua namchukulia poa sana ila yule mzee ana vision sana na Moja kati ya speech zake Bora zaidi ni Ile wakati wanazindua project ya uwanja mpya wa old Trafford
Badili jina ujiite united ya amorim
 
Moja ya ligi yenye kuheshimika duniani na yenye mchango mkubwa katika soka la dunia ni ligi ya England.
Leo nenda kacheki msimamo mzima ndio utanielewa,now man U imejipata,naiombea mafanikio zaidi na waendelee kumuamini kocha.
Have a nice weekend guys.
 
Back
Top Bottom